IQNA

Kiongozi wa Hizbullah apongeza mapambano ya Wapalestina dhidi ya adui Mzayuni

Kiongozi wa Hizbullah apongeza mapambano ya Wapalestina dhidi ya adui Mzayuni

IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka huu ni tofauti na miaka iliyopita, na kwamba operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa imemweka adui Mzayuni kwenye ukingo wa shimo la mauti.
12:59 , 2024 Apr 04
Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 24

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 24

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 24 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
11:06 , 2024 Apr 04
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 24

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 24

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
04:29 , 2024 Apr 04
Kumalizika Maonyesho ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tehran -PICHA

Kumalizika Maonyesho ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tehran -PICHA

Maonyesho 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yalifikia tamati Jumanne usiku. Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran kila mwaka huandaliwa na Wizara ya Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
12:28 , 2024 Apr 03
Maonyesho ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tehran yamalizika kwa mafanikio

Maonyesho ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tehran yamalizika kwa mafanikio

IQNA - Maonyesho 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yalifikia tamati Jumanne usiku.
12:03 , 2024 Apr 03
Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 23

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 23

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 23 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
11:46 , 2024 Apr 03
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 23

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 23

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
02:54 , 2024 Apr 03
Kitabu cha kuwasaidia wenye ulemavu wa macho kusoma nakala ya Qur'ani ya Braille

Kitabu cha kuwasaidia wenye ulemavu wa macho kusoma nakala ya Qur'ani ya Braille

IQNA - Kitabu cha mwongozo cha kusoma nakala za nukta nundu (braille) za Qur'ani Tukufu kimezinduliwa nchini Indonesia.
17:54 , 2024 Apr 02
Fadhila za Usiku wa Laylatul Qadr

Fadhila za Usiku wa Laylatul Qadr

IQNA - Usiku wa Qadr, au Laylatul Qadr unaojulikana pia kama Usiku wa Hatima, una sifa nzuri kama zilivyoangaziwa katika Qur'ani Tukufu. Fadhila hizi hutumika kuwahimiza waumini wanufaike na usiku huu ambao unapatikana katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
17:43 , 2024 Apr 02
Kiongozi Muadhamu: Iran itaufanya utawala wa Israel ujutie uhalifu nchini Syria

Kiongozi Muadhamu: Iran itaufanya utawala wa Israel ujutie uhalifu nchini Syria

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma salamu za rambirambi kufuatia kuuawa shahidi Majenerali walioongoka wa Kiislamu katika shambulio la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya ubalozi mdogo wa Iran nchini Syria na kusisitiza kwamba: "Taifa la Iran litawafanya Wazayuni wajutie jinai hiyo na jinai zingine kama hiyo."
15:35 , 2024 Apr 02
Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 22

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 22

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 22 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
14:01 , 2024 Apr 02
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 22

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 22

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
04:52 , 2024 Apr 02
Rais wa Iran: Qur’ani Tukufu ina majibu kwa maswali yote ya maisha ya kisasa ya mwanadamu

Rais wa Iran: Qur’ani Tukufu ina majibu kwa maswali yote ya maisha ya kisasa ya mwanadamu

IQNA - Rais wa Iran Ebrahim Raisi amesema Qur'ani Tukufu inaweza kujibu maswali yote ambayo wanadamu wanayo, akibainisha kuwa majibu haya yanaweza kupatikana kwa njia ya ijtihad.
18:32 , 2024 Apr 01
Tafsiri ya Kwanza ya Qur’ani katika Lugha za Dusun yazinduliwa nchini Malaysia

Tafsiri ya Kwanza ya Qur’ani katika Lugha za Dusun yazinduliwa nchini Malaysia

IQNA - Tafsiri au tarjuma ya kwanza ya Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Dusun imezinduliwa katika hafla ya Jumapili huko Kota Kinabalu, Malaysia
18:01 , 2024 Apr 01
Iraq: Vipaji vya Qur’ani katika Mashindano ya Kuhifadhi Qur'ani ya Al-Ameed

Iraq: Vipaji vya Qur’ani katika Mashindano ya Kuhifadhi Qur'ani ya Al-Ameed

IQNA – Haram Tukufu ya Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala hivi karibuni ilihitimisha awamu ya kwanza ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yajulikanayo kama Tuzo ya Kimataifa ya Al-Ameed ya Kusoma Qur’ani, ambayo yamefanyika katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
17:44 , 2024 Apr 01
9