Kwa mujibu wa wa taarifa, Abid Muhammad al Shemri, naibu mkurugenzi wa Radio ya Qur’an Qatari, vipindi maalumu vya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vilianza kutayarishwa miezi minane iliyopita.
Ameongeza kuwa kati ya vipindi watakavyokuwa navyo ni qiraa ya Qur’ani Tukufu ya wasomjai maarufu wa Qur’ani.
Aidha wanazuoni maarufu wanatazamiwa kutoa mawaidha katika idhaa hiyo ya Qur’ani ya Qatar.