Vyombo vya habari vya Saudia vimeripoti kuwa, milo hiyo ilitolewa na mashirika ya misaada kwa kushirikiana na kamati ya serikali huko Maka.
Mamia ya wafanyikazi, wakiwemo 100 kutoka Idara Kuu ya Masuala ya Misikiti Miwili Mitakatifu, wanasimamia usambazaji wa milo takribani 150,000 kwa siku, mkuu wa usimamizi wa uwanja wa msikiti huo Moussa bin Mohammed alisema.
Takriban mashirika 67 ya misaada yanajishughulisha na kutoa chakula hicho, na maeneo ya futari katika msikiti huo yameainishwa kwa uratibu na vyombo vya usalama, afisa huyo alisema.
3478621