iqna

IQNA

rohingya
TEHRAN (IQNA) – Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limetoa wito wa kutafutulwia suluhisho jipya na la kudumu kwa wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya walio ndani na nje ya Myanmar.
Habari ID: 3473092    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/22

Afisa wa Umoja wa Mataifa
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa taasisi ya Umoja wa Mataifa inayochunguza jinai dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar amesema Shirika la Facebook limekataa kutoa ushahidi wa jinai za kimataifa hata baada ya kuahidi kushirikiana kuhusu katika kadhia hiyo.
Habari ID: 3473058    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/11

TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Kiislamu la Haki za Binadamu (IHRC) lenye makao yake London amelaani kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu ukandamizaji wa jamii za Waislamu waliowachache nchi mbali mbali duniani.
Habari ID: 3472989    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/22

TEHRAN (IQNA) – Sheria ya kutotoka nje ili kuzuia kuenea ugonjwa wa corona nchini India imepelekea Waislamu wa jamii ya Rohingya wasiweze kupokea msaada wa chakula kutoka kwa wahisani na hivyo wanakabiliwa baa la njaa.
Habari ID: 3472681    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/19

TEHRAN (IQNA) - Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) imeitaka serikali ya Myanmar kuchukua hatua za dharura za kuzuia mauaji ya kimbari ya Waislamu wa Rohingya, ikisisitiza kuwa Wa rohingya hao wamesababishiwa machungu na maumivu yasiyoweza kufutika au kurekebishika.
Habari ID: 3472401    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/24

TEHRAN (IQNA) - Waislamu wa jamii ya Rohingya wameitaka jamii ya kimataifa isikubali matamshi ya Aung San Suu Kyi, kiongozi wa chama tawala nchini Myanmar cha National League for Democracy ambaye pia ndiye Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi hiyo aliyoyatoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu ICJ.
Habari ID: 3472273    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/13

TEHRAN (IQNA) Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) imeanza kusikiliza kesi kuhusu mauaji ya kimbari ya Waislamu wa Myanmar kufuatia shtaka ambalo limewasilishwa na Gambia.
Habari ID: 3472265    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/10

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema bado anaendelea kuwa na wasiwasi mkubwa kuhusu hali ya Myanmar, ikiwemo katika jimbo la Rakhine kutokana na kukandamizwa Waislamu wa jamii ya Rohingya katika eneo hilo.
Habari ID: 3472201    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/05

TEHRAN (IQNA) Waislamu wasiopungua laki sita wa jamii ya Rohingya waliosalia nchini Myanmar wangali wanakabiliwa na hatari kubwa ya kuuliwa kwa kimbari.
Habari ID: 3472136    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/18

TEHRAN (IQNA) - Wakimbizi wapatao laki mbili Waislamu wa jamii ya Rohingya wa nchini Myanmar Jumapili walishiriki kwenye kumbukumbu ya mwaka wa pili tangu jeshi la Myanmar lilipowakandamiza na kuwalazimisha kuyahama makazi yao kwa umati na kukimbilia nchi jirani ya Bangladesh ili kunusuru maisha yao.
Habari ID: 3472102    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/27

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekosoa vikali hatua ya Myanmar kuendelea Waislamu wa jamii ya Rohingya kurejea nchini humo.
Habari ID: 3471811    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/19

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa kifalme wa Saudi Arabia umeanza mradi wa kuwatimua wakimbizi Waislamu wa jamii wa Rohingya ambao walikimbia mateso na mauaji ya kimbari katika nchi yao ya jadi, Myanmar.
Habari ID: 3471801    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/09

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Myanmar, Aung San Suu Kyi, amekwepa kuhudhuria kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York wiki ijayo huku akiendelea kulaumiwa kutokana na mauaji ya kimbari ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini humo.
Habari ID: 3471668    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/12

TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Mataifa umeikosoa serikali ya Myanmar kwa kukwamisha juhudi zinazolenga kuwafikia Waislamu wa Rohingya katika jimbo la Rakhine wanaokabiliwa na hali mbaya.
Habari ID: 3471643    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/23

TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametembelea kambi ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya huko Cox’s Bazar nchini Bangladesh na kusema alichoshuhudia kinamkumbusha wajukuu zake.
Habari ID: 3471581    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/03

TEHRAN (IQNA)-Huku mvua za monsoon ziliendelea kunyesha katika kambi kubwa za wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Bangladesh, Umoja wa Mataifa umeonya kuwa maisha ya wakimbizi 200,000 yako hatarini.
Habari ID: 3471562    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/17

TEHRAN (IQNA)- Wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya ambao wamekimbia ukandamizaji katika ardhi zao za jadi nchini Myanmar wamebainisha masikitiko yao baada ya Umoja wa Mataifa kushindwa kuwatetea wapate haki ya uraia.
Habari ID: 3471552    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/11

TEHRAN (IQNA)-Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu (OIC) imeahidi kuchukua hatua imara kutatua kadhia ya Waislamu wa jamii ya Rohingya wanaokandamizwa nchini Myanmar huku wengi wao wakikimbilia Bangladesh kuokoa maisha yao.
Habari ID: 3471497    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/06

TEHRAN (IQNA)- Wachunguzi wa Umoja wa Mataifa wameulaumu mtandao maarufu wa kijamii wa Facebook kuwa umehusika kwa uchochezi wa mauaji ya umati dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar.
Habari ID: 3471427    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/13

Amnesty International
TEHRAN (IQNA)-Jeshi la Myanmar lingali linatekeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini humo kwa kutumia mbinu kadhaa.
Habari ID: 3471384    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/08