iqna

IQNA

muharram
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Afya ya Iran imetangaza maelekezo ya kiafya ambayo yanapaswa kufuatwa katika wa maombolezo ya kumbukumbu ya kuuawa shahidi Mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS.
Habari ID: 3473032    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/04

TEHRAN (IQNA) - Mamilioni ya Waislamu kote duniani hii leo wanaomboleza katika siku ya Ashura ambayo ni siku aliyouawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS.
Habari ID: 3472122    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/10

TEHRAN (IQNA) – India imeweka sheria ya kutotoka nje katika sehemu kadhaa la eneo linalozozaniwa la Kashmir baada ya jeshi kkuwashambulia Waislamu wa madhehebu ya Shia waliokuwa wanashiriki katika maombolezo ya mwezi wa Muharram.
Habari ID: 3472120    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/08

TEHRAN (IQNA)- Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Kenya wanaendelea na maombolezo ya mwezi Muharram katika kukumbuka kuuhawa Shahidi Imam Hussein AS na wafuasia wake katika jangwa la Karbala.
Habari ID: 3471672    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/16

TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa utawala Saudi Arabia wamewashambulia Waislamu wa madhehebu ya Shia ambao walikuwa wakishiriki katika maombolezo ya Mwezi wa Muharram.
Habari ID: 3471670    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/14

TEHRAN (IQNA) Siku ya leo inasadifiana na mwezi 10 Muharram 1439 Hijria, siku ya kukumbuka wakati damu ilipoushinda upanga kwa ushujaa wa Imam Hussein AS na wafuasi wake wachache katika jangwa la Karbla la Iraq ya leo.
Habari ID: 3471200    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/01

TEHRAN (IQNA)- Waislamu wanajumuika katika Msikiti wa Al Ghadir mjini Dar es Salaam nchini Tanzania kwa ajili ya maombolezo ya kuuawa Imam Hussein AS katika mwezi wa Muharram.
Habari ID: 3471192    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/26

Imam Hussein AS alisema: Mja ambaye atamuabudu Mwenyezi Mungu kama anavyostahiki kuabudiwa, Mwenyezi atampa kilicho zaidi ya alichokiomba. (Mawsuat Kalimat al-Imam al-Hussein AS. Hadithi ya 906, Uk. 748)
Habari ID: 3471190    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/25

TEHRAN (IQNA) Jumuiya ya Kiislamu ya Maelewano ya Kitaifa ya Bahrain (Al Wefaq) imelaani hatua ya vikosi vya usalama kuhujumu madhihirisho ya Ashura na kuendelea kuzingirwa nyumba ya mwanazuoni wa Kiislamu Sheikh Issa Qassim.
Habari ID: 3471189    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/24

Wafanyaziara takribani milioni 27 wakiwemo wageni milioni tano wameshiriki katika maombolezo ya Arubaini ya mjukuu wa Mtume Mtukufu SAW, Imam Hussein AS, katika mji wa Karbala nchini Iraq.
Habari ID: 3459722    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/04

Wananchi wengi wa Kaduna nchini Nigeria wanaendelea kujitokeza kwa wingi katika maombolezo ya mashahidi wa Karbala.
Habari ID: 3392936    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/23

Kwa mnasaba maombolezo ya kukumbuka kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume Mtume Muhammad , SAW, Imam Hussein AS, vikao kadhaa vya kusoma Qur'ani vimeandaliwa katika misikiti mbali mbali kote Kuwait.
Habari ID: 3388677    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/18

Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (ISESCO) limelaani vikali hujuma ya kigaidi dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia waliokuwa katika majlisi ya maombolezo ya siku 10 za Muharram nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3388672    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/18

Sayyid Hassan Nasrallah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa watu wanaofikiri kwamba kwa kuanzisha vita vya kisaikolojia na vitisho wataweza kuzuia kufanyika maombolezo ya Aba Abdillah Imam Hussein AS wanajidanganya, kwani vitisho hivyo havitawatenganisha na Imam Hussein AS.
Habari ID: 1463834    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/26