iqna

IQNA

binladin
Ajali ya Winchi
TEHRAN (IQNA) - Mahakama ya Saudia imetoa uamuzi wa ajali ya winchi iliyotokea mwaka 2015 katika Msikiti Mkuu wa Makka ambayo iliua takriban watu 109.
Habari ID: 3476565    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/15

TEHRAN (IQNA)-Mahakama moja nchini Saudi Arabia imesema Shirika la Ujenzi la Binladin halina hatia na haliwezi kubebeshwa dhima ya kuanguka winchi (crane) katika Msikiti Mtakatifu wa Makka wakati wa msimu wa Hija mwaka 2015.
Habari ID: 3471203    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/03

Idara ya Mfalme wa Saudi Arabia, Salman bin Abdul Aziz imelizuia shirika la ujenzi la Bin Ladin kuendelea na shughuli zake za ujenzi nchini humo baada ya kutokea ajali ya kreni auwinchi iliyopelekea zaidi ya mahujaji 107 kufariki dunia mjini Makka.
Habari ID: 3363334    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/16