iqna

IQNA

nowruz
Katika Ujumbe wa Mwaka Mpya wa 1403 Hijria Shamsia
IQNA-Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe muhimu kwa mnasaba wa Nowruz ambayo ni siku ya kuanza mwaka mpya wa Kiirani wa 1403 Hijria Shamsia na ameuita mwaka huo kuwa ni wa kuongezeka kwa uzalishaji wa kiuchumi kwa kushirikisha wananchi.
Habari ID: 3478549    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/20

Sikukuu ya Nowruz
TEHRAN (IQNA) - Takriban wafanyaziara milioni 4.3 kutoka kote Iran pamoja na nchi nyingine walitembelea mji mtakatifu waMashhad katika siku chache zilizopita wakati Wairani wakisherehekea Nowruz, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3476749    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/23

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema maadui wanapinga Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Khomeini (MA), na maadhimisho ya Mapinduzi ya Kiislamu kila mwaka, sambamba na kuupinga mfumo wa Kiislamu unaotawala hapa nchini Iran; na kusisitiza kuwa, lengo la maadui ni kubadilisha utambulisho wa taifa hili na Mapinduzi ya Kiislamu, na badala yake walete demokrasia bandia ya Kimagharibi.
Habari ID: 3476740    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/22

Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa munasaba wa Nowruz
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei, ametuma ujumbe kwa mnasaba wa Nowruz (Nairuzi) ambayo ni siku kuanza mwaka mpya wa 1402 Hijria Shamsia ambapo ametoa pongezi kwa wananchi wa Iran na mataifa yote yanayosherehekea Nowruz.
Habari ID: 3476735    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/21

Ustaarabu
TEHRAN (IQNA)- Mwaka mpya wa Kiirani Hijria Shamsia wa 1402 unaanza 21 Machi 2023 Miladia. Siku za kuanza mwaka mpya wa Kiirani hujulikana kama Nowruz au Nairuzi kwa lugha ya Kiswahili na huadhimishwa kwa furaha na shangwe kote Iran na nchi zinazozungumza Kifarsi pamoja na mataifa yote ambayo kwa njia moja au nyingine yana uhusiano na ustaarabu na utamaduni wa Iran.
Habari ID: 3476733    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/20

Aya za Machipuo/ 1
TEHRAN (IQNA)- Kwa mnasaba wa kuwasili kwa siku Nowruz ambazo ni maadhimisho ya kuwadia mwaka mpya wa Kiirani wa Hijria Shamsia sambamba na kuanza msimu wa machipuo na kuhuishwa ardhi, IQNA inasambaza aya za Qur’ani Tukufu zinazoashiria machipuo kwa sauti za wasomaji maarufu wa Qur’ani Tukufu katika Ulimwengu Kiislamu. Katika sehemu ya kwanza, tumewaandalia qiraa ya Aya ya 48 ya Surah Al-Furqan kwa sauti ya Ustadh Shaban Abdulaziz Sayad wa Misri.
Habari ID: 3476723    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/18

Mashhad
TEHRAN (IQNA)-Maandalizi yanaendelea katika mji mtakatifu wa Mashhad, kaskazini-mashariki mwa Iran, kupokea kwa furaha mamilioni ya wafanyaziara wanaopanga kutembelea jiji hilo wakati wa likizo ya Nowruz yam waka mpya wa Hijria Shamsia (kuanzia Machi 21).
Habari ID: 3476655    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/04

TEHRAN (IQNA)- Katika ujumbe wake wa Nowruz au Nairuzi na mwaka mpya wa 1401 Hijria Shamsia, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameitaja karne ya kumi na tano Hijria Shamsia kuwa ni karne ya Iran ya Kiislamu na zama za watu wa Iran kuwa na nafasi na machango muhimu zaidi.
Habari ID: 3475063    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/21

TEHRAN (IQNA)-Katika ujumbe wake kwa mnasaba wa kuanza mwaka 1401 Hijria Shamsia, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelipongeza taifa kwa kuwadia sikukuu ya Nowruz au Nairuzina kuutaja mwaka mpya kuwa ni mwaka wa "uzalishaji unaotegemea elimu na kutengeneza ajira."
Habari ID: 3475062    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/21

TEHRAN (IQNA) – Hivi sasa katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na mataifa kadhaa ya karibu wananchi wanaadhimisha kuwadia mwaka mpya wa Hijria Shamsiya.
Habari ID: 3473763    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/26

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria kadhia ya vikwazo na kusisitiza kuwa, mzingiro wa kiuchumi na vikwazo ni kati ya jinai kubwa za serikali na kadhia hiyo haipaswi kutazamwa kwa jicho la kisiaasa na kidiplomasia.
Habari ID: 3473752    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/21

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema leo katika ujumbe maalumu kwa mnasaba wa kuwadia mwaka mpya wa Kiirani wa 1400 Hijria Shamisa kwamba kusimama imara taifa la Iran kumepelekea kushindwa maadui.
Habari ID: 3473751    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/20

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe maalumu kwa mnasaba wa kuingia leo mwaka wa Kiirani wa 1400 wa Hijria Shamsia na mbali na kutoa mkono wa baraka za mwaka huo mpya wa Nairuzi amesema: Mwa huu ni wa uzalishaji, uwezeshaji na uondoaji mikwamo na vizuizi.
Habari ID: 3473750    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/20

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametuma salamu za kheri na fanaka kwa munasaba wa kuwadia siku kuu ya Nowruz (Nairuzi) ya mwaka mpya wa Hijria Shamsia na wakati huo huo akatuma salamu za rambi rambi kutokana na kupoteza maisha idadi kubwa ya watu kutokana na ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472585    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/20

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika ujumbe kwa munasaba wa kuanza mwaka mpya wa 1398 Hijiria Shamsia, ametuma salamu za pongezi za Nowuruz (Nairuzi) na pia salamu kwa munasaba Wilada ya Imam Ali AS kwa wananchi wa Iran na hasa familia za mashahidi na majeruhi wa vita na amelitakia taifa la Iran mwaka wenye furaha, saada, afya ya kimwili na mafanikio ya kimaada na kimaanawi na ameutaja mwaka mpya kuwa mwaka wa "kustawi uzalishaji".
Habari ID: 3471884    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/21

Rais Rouhani katika ujumbe wa Nowruz
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mapema Alhamisi ametuma ujumbe kwa kunasaba wa kuanza mwaka mpya wa 1398 Hijria Shamsiya na kusema mwaka 1397 ulikuwa mwaka wa mafanikio makubwa ya taifa la Iran katika nyuga mbali mbali na kuongeza kuwa, kwa yakini taifa la Iran litapata ushindi na litavuka matatizo yaliyopo.
Habari ID: 3471883    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/21

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei, ameutangaza mwaka mpya wa 1397 hijria shamsia kuwa mwaka wa "kuunga mkono bidhaa za Iran".
Habari ID: 3471436    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/20

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amejiunga na taifa la Iran katika kuadhimisha siku kuu ya Nowruz ya kuwadia mwaka mpya wa Hijria Shamsia.
Habari ID: 3015830    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/20