Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Ulimwengu wa Kiislamu una maswali mengi ya kuuliza kuhusu maafa yaliyotokea Mina nchini Saudi Arabia.
2015 Sep 27 , 16:17
Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Saudi Arabia inalazimika kukabidhi masuala ya kusimamia na kuendesha ibada ya Hija kwa nchi za Kiislamu.
2015 Sep 26 , 12:51
Imearifiwa kuwa msafara wa mwanamfalme wa Saudia, Mohammad Bin Salman Aal Saud katika eneo la Mina, ndiyo sababu ya kupelekea msongamano na kufariki maelfu ya mahujaji katika eneo hilo karibu na mji mtakatifu wa Makka.
2015 Sep 25 , 16:26
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametangaza siku tato za maombolezo ya kitaifa kufuatia vifo vya mamia ya mahujaji waliokuwa katika ibada ya Hija huko Mina, karibu na mji mtakatifu wa Makka.
2015 Sep 24 , 23:51
Waislamu 25 wa madhehebu ya Shia wameuawa shahidi na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mji mkuu wa Yemen, Sana'a baada ya bomu kulipuka ndani ya msikiti wakati wa Swala ya Idul-Adh’ha mapema leo asubuhi.
2015 Sep 24 , 22:25
Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu wasiopungua 1,000 wamefariki dunia na wengine 1,500 wamejeruhiwa katika msongamano wa mahujaji wakati wa kutekeleza ibada ya Hija huko Mina karibu na Makka.
2015 Sep 24 , 18:40
Rais Vladmir Putin wa Russia Jumatano amefungua msikiti mkuu wa Moscow ambao ni msikiti mkubwa zaidi barani Ulaya.
2015 Sep 24 , 05:22
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran pamoja na Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu wametuma salamu za Idi kwa viongozi pamoja na wananchi wa mataifa ya Kiislamu kwa mnasaba wa kuwadia Idul-Adh’ha.
2015 Sep 24 , 05:15
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei ametuma ujumbe kwa mnasaba wa Hija katika mwaka 1436 Hijria. Ifuatayo ni matini kamili ya ujumbe huo
2015 Sep 23 , 13:28
Kuhiji kwa mara ya kwanza ni ndoto iliyotimia kwa Abdi Mohammad, Mwislamu kutoka Kenya ambaye amekuwa akiuza viungo vya chakula kwa muda wa miaka 15 ili aweze kuchanga pesa za kumuwezesha kutimiza faradhi ya Hija katika mji mtakatifu wa Makkah.
2015 Sep 23 , 13:16
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mapema leo kuwa jeshi la ulinzi la taifa hili ni kikosi kikubwa zaidi cha kupambana na ugaidi duniani.
2015 Sep 22 , 15:04
Mufti wa Quds na ardhi za Palestina amewataka Wapalestina kushikamana kwa ajili ya kukabiliana na njama na hujuma za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).
2015 Sep 21 , 16:33
Waislamu nchini Marekani wamemkosoa vikali Ben Carson anayetaka kugombea kiti cha urais kwa tikiti ya chama cha Republican kufuatia matamshi yake kuwa Mwislamu hapaswi kuchaguliwa kuwa rais wa Marekani.
2015 Sep 21 , 14:36