IQNA

Mamlaka ya Fatwa ya Al-Azhar Yaruhusu Kulipa Zakat kwa Wapalestina Waliokoseshwa Makazi Gaza

IQNA – Dar al-Ifta ya Misri imetoa fatwa mpya ya kidini inayoruhusu raia kuelekeza mali ya zakat kusaidia mahitaji ya msingi ya watu waliokoseshwa makazi...

Raundi ya Mwisho ya Mashindano ya Qur'ani ya Sheikha Hind bint Maktoum huko Dubai

IQNA – Hatua ya mwisho ya Mashindano ya 26 ya Qur'ani Tukufu ya Sheikha Hind bint Maktoum imeanza rasmi Dubai, ikiwakutanisha wanaume na wanawake wanaohifadhi...

Kijana wa Kipalestina Akuta Msahafu Uliosalimika Chini ya Magofu ya Nyumba Yake Gaza +Video

IQNA – Kijana mmoja wa Kipalestina amegundua nakala ya Msahafu ikiwa salama kabisa chini ya magofu ya nyumba yake iliyoharibiwa kaskazini mwa Gaza, akieleza...

Mkuu wa Al-Azhar Asisitiza Kuepuka Kuvunjia Heshima Mtukufu ya Dini

IQNA – Imamu Mkuu wa Al-Azhar nchini Misri, Sheikh Ahmed al-Tayeb, amesisitiza umuhimu wa kuheshimu matukufu ydini na kuepa uka matusi au dharau dhidi...
Habari Maalumu
Maktaba ya Vatican Yatenga Sehemu Maalum ya Kuswali kwa Watafiti Waislamu

Maktaba ya Vatican Yatenga Sehemu Maalum ya Kuswali kwa Watafiti Waislamu

IQNA – Maktaba ya Kitume ya Vatican imetenga eneo dogo kwa ajili ya watafiti Waislamu kuswali wanapoitembelea.
15 Oct 2025, 12:20
UAE: Wito Watolewa kwa Sala ya Kitaifa ya Kuomba Mvua

UAE: Wito Watolewa kwa Sala ya Kitaifa ya Kuomba Mvua

IQNA – Agizo limetolewa la kuandaa Sala ya Istisqa (kuomba mvua) katika misikiti yote ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) siku ya Ijumaa.
14 Oct 2025, 19:06
Msikiti Wafunguliwa Gaza Baada ya Kusitishwa kwa Mapigano, Sauti ya Adhana Yarejea Kambini

Msikiti Wafunguliwa Gaza Baada ya Kusitishwa kwa Mapigano, Sauti ya Adhana Yarejea Kambini

IQNA – Baada ya miezi kadhaa ya kufungwa kutokana na mashambulizi ya angani, Msikiti wa Al-Tawhid ulioko katika kambi ya wakimbizi ya Al-Shati, Gaza, umefunguliwa...
14 Oct 2025, 18:40
Usajili Wafunguliwa kwa Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya UAE

Usajili Wafunguliwa kwa Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya UAE

IQNA-Idara Kuu ya Mambo ya Kiislamu, Awqaf na Zakat ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imetangaza kuanza kwa usajili wa toleo la pili la Emirates International...
14 Oct 2025, 18:59
Maana ya Ushirikiano katika Maisha ya Mtume Mtukufu (SAW)
Ushirikiano katika Qur’ani Tukufu (Sehemu ya Pili)/2

Maana ya Ushirikiano katika Maisha ya Mtume Mtukufu (SAW)

IQNA – Neno Ta’avun (ushirikiano) hutumika kama istilahi ya kielimu katika fani nyingi, lakini katika Seerah ya Mtume Mtukufu (SAW), mara nyingi linahusiana...
14 Oct 2025, 18:22
Mashindano ya Kwanza ya Qur'ani na Sunnah Yazinduliwa Nchini Brazil

Mashindano ya Kwanza ya Qur'ani na Sunnah Yazinduliwa Nchini Brazil

IQNA – Mashindano ya kwanza ya Qur'ani na Sunnah yameanza rasmi nchini Brazil, katika bara la Amerika ya Kusini.
13 Oct 2025, 23:53
Mashindano ya Kuhifadhi Qur'ani Kufanyika Sambamba na Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Libya

Mashindano ya Kuhifadhi Qur'ani Kufanyika Sambamba na Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Libya

IQNA – Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yatafanyika wakati wa toleo la pili la Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu...
13 Oct 2025, 23:46
Qur'ani Inasemaje Kuhusu Ushirikiano na Kazi ya Pamoja
Ushirikiano katika Qur'ani Tukufu/1

Qur'ani Inasemaje Kuhusu Ushirikiano na Kazi ya Pamoja

IQNA – Uislamu umeamuru wafuasi wake kusaidiana katika kutenda mema. Wakati watu wanapokusanyika na kuanzisha mahusiano ya kijamii, roho ya umoja huingia...
13 Oct 2025, 23:27
Washiriki 330 Kushindana Katika Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran ya 48 Mjini Sanandaj

Washiriki 330 Kushindana Katika Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran ya 48 Mjini Sanandaj

IQNA – Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran, yakihusisha washiriki 330 kutoka maeneo mbalimbali ya nchi, yatafanyika mwaka huu katika...
13 Oct 2025, 23:37
Harakati ya Hamas yawakabidhi kwa Msalaba Mwekundu mateka 7 wa kwanza wa Israel huko Gaza

Harakati ya Hamas yawakabidhi kwa Msalaba Mwekundu mateka 7 wa kwanza wa Israel huko Gaza

IQNA-Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu (ICRC) limetangaza kukabidhiwa mateka saba wa kwanza wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
13 Oct 2025, 23:32
Mtafiti Aangazia Umuhimu wa Mfano wa Wazazi katika Kuwafundisha Watoto Kuswali

Mtafiti Aangazia Umuhimu wa Mfano wa Wazazi katika Kuwafundisha Watoto Kuswali

IQNA – Mwanazuoni wa Kiirani, Hujjatul-Islam Habibollah Zamani, amesisitiza kuwa njia bora ya kuwahimiza watoto kuswali ni kwa wazazi kuishi kwa mfano...
12 Oct 2025, 09:43
Jukwaa Mahiri la Mashindano ya Qur'an Lazinduliwa Morocco

Jukwaa Mahiri la Mashindano ya Qur'an Lazinduliwa Morocco

IQNA – Morocco imezindua jukwaa la kwanza la kidijitali lenye akili mnemba (AI) kwa ajili ya mashindano ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu, likilenga...
12 Oct 2025, 09:16
JUMUIYA YA Waislamu wa Fiji Yatangaza McDonald's Siyo 'Halal'

JUMUIYA YA Waislamu wa Fiji Yatangaza McDonald's Siyo 'Halal'

IQNA –jumuiya ya Waislamu wa Fiji (FML) imetoa tangazo rasmi kwa Waislamu nchini humo kwamba haijaidhinisha McDonald's Fiji kuwa 'Halal'
12 Oct 2025, 07:02
Mkutano Wajadili Mashindano ya 9 ya Kitaifa ya Kundi la Qur'ani kwa Wanafunzi Nchini Iraq

Mkutano Wajadili Mashindano ya 9 ya Kitaifa ya Kundi la Qur'ani kwa Wanafunzi Nchini Iraq

IQNA – Maandalizi ya mashindano ya 9 ya kitaifa ya usomaji wa Qur'ani kwa makundi ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iraq yanaendelea chini ya usimamizi...
11 Oct 2025, 19:37
Hukumu Dhidi ya Mchoma Qur'ani Yabatilishwa Uingereza kwa Kisingizio cha ‘Uhuru wa Maoni’

Hukumu Dhidi ya Mchoma Qur'ani Yabatilishwa Uingereza kwa Kisingizio cha ‘Uhuru wa Maoni’

IQNA – Hukumu dhidi ya mwanaume aliyepigwa faini kwa kuchoma nakala ya Qur'an nje ya ubalozi wa Uturuki jijini London imebatilishwa kwa kisingizio cha...
11 Oct 2025, 19:29
Mashindano ya Qur'an Yasaidia Kuimarisha Jamii, Asema Qari Mkongwe Kutoka Iran 

Mashindano ya Qur'an Yasaidia Kuimarisha Jamii, Asema Qari Mkongwe Kutoka Iran 

IQNA – Mtaalamu mkongwe wa Qur'an, Abbas Salimi, amesema kuwa mashindano ya Qur'an yana mchango mkubwa katika kuimarisha jamii na kuzuia Qur'an Tukufu...
11 Oct 2025, 18:44
Picha‎ - Filamu‎