IQNA

Inna Lillah wa Inna Ilahyi Rajioun

Zaghloul El-Naggar, Gwiji wa Elimu ya Miujiza ya Kisayansi katika Qur’ani, Afariki Dunia Akiwa na Miaka 92

IQNA – Mwanasayansi na msomi wa Kiislamu kutoka Misri, Dkt. Zaghloul Ragheb Mohammed El-Naggar, ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 92, kwa mujibu wa taarifa...

Maafisa Wahimiza Ushiriki wa Wadau Wote wa Qur’ani Katika Maonesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran

IQNA – Naibu wa Qur’ani na Etrat katika Wizara ya Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu ya Iran amesisitiza umuhimu wa kuandaliwa kwa Maonesho ya 33 ya Kimataifa...

Idhaa ya Cairo Kuanza Kurusha Kisomo cha Qur’ani cha Wanafunzi wa Al-Azhar

IQNA – Kisomo cha Qur’ani Tukufu kwa tarteel kilichorekodiwa na wanafunzi wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kitaanza kurushwa hewani kupitia...

Saudi Arabia Yazindua Mkutano Mkubwa wa Huduma za Hija kwa Kauli Mbiu ‘Kutoka Makkah Hadi Ulimwenguni’

IQNA – Wizara ya Hija na Umrah ya Saudi Arabia siku ya Jumapili imezindua rasmi Mkutano na Maonesho ya 5 ya Hajj kwa mwaka 1447 Hijria, yanayoendelea...
Habari Maalumu
Awamu  ya Awali ya Kusoma Qur’ani Tukufu Yaanza Rasmi Nchini Qatar

Awamu ya Awali ya Kusoma Qur’ani Tukufu Yaanza Rasmi Nchini Qatar

IQNA – Awamu ya kwanza ya mashindano ya Qur’ani Tukufu ya Sheikh Jassim bin Muhammad bin Thani imeanza rasmi nchini Qatar, kwa mujibu wa taarifa ya Wizara...
10 Nov 2025, 14:14
Qur'an kwa Lugha ya Rohingya: Mradi wa Kuamsha Lugha ya Waliodhulumiwa

Qur'an kwa Lugha ya Rohingya: Mradi wa Kuamsha Lugha ya Waliodhulumiwa

IQNA – Mradi wa kutafsiri Qur'an kwa lugha ya Rohingya umeanzishwa katika mazingira ambapo Waislamu wa Rohingya wamekuwa wakilengwa na dhulma na kufukuzwa...
09 Nov 2025, 17:43
Washairi kutoka nchi 25 washiriki Tamasha la Kimataifa la “Mtume wa Rehema”

Washairi kutoka nchi 25 washiriki Tamasha la Kimataifa la “Mtume wa Rehema”

IQNA – Washairi kutoka nchi 25 wamewasilisha takriban mashairi 1,500 katika Tamasha la Kimataifa la Ushairi la “Mtume wa Rehema,” lilioandaliwa kwa heshima...
09 Nov 2025, 17:16
Shirikisho la Soka la Ireland Laitaka UEFA kuifukuza Israel katika mashindano ya soka Ulaya

Shirikisho la Soka la Ireland Laitaka UEFA kuifukuza Israel katika mashindano ya soka Ulaya

IQNA – Katika kura ya maamuzi yenye uzito, Shirikisho la Soka la Ireland (FAI) limeunga mkono azimio linaloitaka UEFA kuifukuza Israel kutoka kwenye mashindano...
09 Nov 2025, 17:11
Kituo cha uchapishaji wa Qur'ani Tukufu Iran chatumia Teknolojia ya Akili Mnemba

Kituo cha uchapishaji wa Qur'ani Tukufu Iran chatumia Teknolojia ya Akili Mnemba

IQNA – Kituo cha Uchapishaji na Usambazaji wa Qur'an Tukufu cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kimeanza kutumia teknolojia za Akili Mnemba (AI) kwa ajili...
09 Nov 2025, 17:07
Walowezi karibu 4,000 Waisraeli wavamia Msikiti wa Al-Aqsa ndani ya wiki moja

Walowezi karibu 4,000 Waisraeli wavamia Msikiti wa Al-Aqsa ndani ya wiki moja

IQNA – Takriban walowezi haramu 3,939 Waisraeli waliuvamia msikiti mtukufu wa Al-Aqsa wiki iliyopita wakiwa chini ya ulinzi wa majeshi ya utawala wa Kizayuni,...
09 Nov 2025, 17:00
Mifano ya “Kushirikiana Katika Uadui na Dhuluma”
Ushirikiano Katika Qur’ani Tukufu /9

Mifano ya “Kushirikiana Katika Uadui na Dhuluma”

IQNA – Qur’ani Tukufu inakataza waziwazi aina yoyote ya ushirikiano katika maovu au uonevu. Katika Surah Al-Ma’idah aya ya 2, Allah anasema: “Wala msisaidiane...
08 Nov 2025, 14:53
Wimbi la Mashambulio Dhidi ya Misikiti Uingereza Lazua Wasiwasi wa Kuongezeka kwa Chuki Dhidi ya Uislamu

Wimbi la Mashambulio Dhidi ya Misikiti Uingereza Lazua Wasiwasi wa Kuongezeka kwa Chuki Dhidi ya Uislamu

IQNA – Mashambulio dhidi ya misikiti nchini Uingereza yameripotiwa kuongezeka kwa kasi katika miezi ya hivi karibuni, huku ripoti mpya ikihusisha ongezeko...
08 Nov 2025, 14:46
Al-Azhar yalaani shambulio la bomu katika Msikiti wa Jakarta

Al-Azhar yalaani shambulio la bomu katika Msikiti wa Jakarta

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimelaani mlipuko wa bomu uliotokea katika msikiti mjini Jakarta, mji mkuu wa Indonesia, wakati wa...
08 Nov 2025, 14:39
Mtaalamu: Wazazi Wawaongoze Vijana Katika Mitandao ya Kijamii, Wasijaribu Kuwazuia

Mtaalamu: Wazazi Wawaongoze Vijana Katika Mitandao ya Kijamii, Wasijaribu Kuwazuia

IQNA – Mtaalamu wa afya ya akili nchini Iran ameonya kwamba matumizi kupita kiasi ya mitandao ya kijamii yanawafanya vijana kujitenga, huku yakibadilisha...
08 Nov 2025, 13:48
Wawili Wafikishwa Mahakamani kwa Njama ya Kushambulia Msikiti Ireland Kaskazini

Wawili Wafikishwa Mahakamani kwa Njama ya Kushambulia Msikiti Ireland Kaskazini

IQNA-Operesheni ya pamoja ya kukabiliana na ugaidi kati ya Jamhuri ya Ireland na Ireland Kaskazini imefanikiwa kuzuia shambulio lililopangwa dhidi ya msikiti...
08 Nov 2025, 13:33
Ayatullah Aarafi alaani mauaji ya kutisha Sudan, atoa wito hatua kuchukuliwa

Ayatullah Aarafi alaani mauaji ya kutisha Sudan, atoa wito hatua kuchukuliwa

IQNA-Ayatullah Alireza Aarafi, Mkurugenzi wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu (Hauzah) nchini Iran ametoa ujumbe mzito wa kulaani mauaji ya kikatili dhidi ya watu...
07 Nov 2025, 18:58
Wanafunzi Waislamu Nchini Uswidi Wabadilisha Shule Ili Kuepuka Ubaguzi wa Rangi

Wanafunzi Waislamu Nchini Uswidi Wabadilisha Shule Ili Kuepuka Ubaguzi wa Rangi

IQNA-Katika ripoti mpya iliyotolewa na taasisi ya utafiti ya Uswidi, imebainika kuwa idadi kubwa ya wanafunzi Waislamu wamekuwa wakihama shule kutokana...
07 Nov 2025, 19:18
Watu Kadhaa Wajeruhiwa Katika Mlupuko Msikitini Shule ya Jakarta, Chanzo Chachunguzwa

Watu Kadhaa Wajeruhiwa Katika Mlupuko Msikitini Shule ya Jakarta, Chanzo Chachunguzwa

IQNA – Takriban watu 54 wamejeruhiwa kufuatia mlipuko uliotokea katika msikiti ulioko ndani ya eneo la shule jijini Jakarta, mji mkuu wa Indonesia, siku...
07 Nov 2025, 19:15
Hati Adimu za Qur’ani Zawasilishwa katika Nyumba ya Sanaa za Kiislamu ya Jeddah

Hati Adimu za Qur’ani Zawasilishwa katika Nyumba ya Sanaa za Kiislamu ya Jeddah

IQNA – Nyumba ya Makumbusho ya Sanaa za Kiislamu mjini Jeddah, maarufu kwa jina la Dar al-Funun al-Islamiyyah, imeandaa maonesho ya hati adimu za Qur’ani...
07 Nov 2025, 18:32
Mkutano wa Istanbul Wasisitiza Kufikiria Upya Nafasi ya Misikiti

Mkutano wa Istanbul Wasisitiza Kufikiria Upya Nafasi ya Misikiti

IQNA – Mkutano wa 4 wa Kimataifa kuhusu Usanifu wa Misikiti wa mwaka 2025 uliofanyika mjini Istanbul, Uturuki, umesisitiza haja ya kufikiria upya nafasi...
07 Nov 2025, 18:24
Picha‎ - Filamu‎