IQNA

Nakala ya Qur'ani ya karne ya 17 iliyoandikwa kwa wino wa dhahabu huko Lucknow, India

IQNA – Katika mtaa wa kihistoria wa Farangi Mahal mjini Lucknow, mahali muhimu katika harakati za India za utamaduni na uhuru, kuna hazina ya kipekee:...

Mwanazuoni: Mtume Muhammad (SAW) alikuja kumkomboa mwanadamu

IQNA – Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon ameadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) yaani Milad un Nabii kwa kutoa...

Kiongozi wa Hizbullah: Shambulizi dhidi ya Qatar ni sehemu ya Mpango wa ‘Israel Kubwa’

IQNA – Katibu Mkuu wa harakati ya Kiislamu ya kupigania ukombozi ya Hizbullah nchini Lebanon amelaani shambulizi la hivi karibuni la Israel dhidi ya mji...

Mbunge wa Uskochi ataka Israel ifungiwe kushiriki michezo Ulaya kutokana na jinai zake Gaza

IQNA-Mbunge mmoja kutoka Uskochi nchini Uingereza amewasilisha hoja rasmi akitaka mashirika ya michezo barani Ulaya kuiondoa Israel katika mashindano ya...
Habari Maalumu
Wafanyakazi wa Msikiti Mkuu wa Makka wapewa mafunzo ya Huduma ya Kwanza

Wafanyakazi wa Msikiti Mkuu wa Makka wapewa mafunzo ya Huduma ya Kwanza

IQNA – Warsha ya mafunzo kuhusu stadi za msingi za huduma ya kwanza imefanyika kwa wafanyakazi wa Msikiti Mkuu, Masjid Al Haram, ulioko katika mji mtukufu...
12 Sep 2025, 17:51
Tamko la Mwisho la Mkutano wa 39 wa Umoja wa Kiislamu: Umoja ni Wajibu wa Kutekelezwa

Tamko la Mwisho la Mkutano wa 39 wa Umoja wa Kiislamu: Umoja ni Wajibu wa Kutekelezwa

IQNA – Mkutano wa 39 wa Umoja wa Kiislamu umehitimishwa Tehran, Iran kwa tamko la mwisho lililoangazia kuwa mshikamano wa Waislamu ni hitajio lisilokwepeka...
11 Sep 2025, 22:37
Iraq yatoa stempu ya kumbukumbu kwa Maadhimisho ya Miaka 1,500 Tangu Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW)

Iraq yatoa stempu ya kumbukumbu kwa Maadhimisho ya Miaka 1,500 Tangu Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW)

IQNA – Msimamizi wa haram ya Hazrat Abbas (AS) huko Karbla, Iraq ametangaza kutolewa kwa stempu maalum ya kumbukumbu kwa ajili ya kuadhimisha miaka 1,500...
11 Sep 2025, 18:37
Mwanazuoni wa Al-Azhar: Mtume (SAW) Ni Kielelezo Cha Milele

Mwanazuoni wa Al-Azhar: Mtume (SAW) Ni Kielelezo Cha Milele

IQNA – Mwanazuoni mashuhuri wa Al-Azhar, Dkt. Salama Abd Al-Qawi, ameadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) kwa kutoa wito wa kutafakari urithi...
11 Sep 2025, 18:32
Mtume Muhammad (SAW) Alikuwa ‘Kiumbe Mkamilifu Zaidi Aliyepambwa Kwa Sifa za Juu za Kibinadamu’

Mtume Muhammad (SAW) Alikuwa ‘Kiumbe Mkamilifu Zaidi Aliyepambwa Kwa Sifa za Juu za Kibinadamu’

IQNA – Mwanazuoni mwandamizi wa Waislamu wa madhehebu Kishia nchini Iraq, Ayatullah Mkuu Mohammad al-Yaqoobi, ameadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad...
11 Sep 2025, 18:21
Rais wa Iran alaani ugaidi wa Israel wa kuwalenga viongozi wa Hamas jijini Doha

Rais wa Iran alaani ugaidi wa Israel wa kuwalenga viongozi wa Hamas jijini Doha

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Iran ameulaani vikali utawala haramu wa Israel kwa kitendo chake 'haramu, cha kinyama na kinacholenga kuvuruga amani ya...
10 Sep 2025, 11:15
Israel yashambulia Doha kuwalenga viongozi wa Hamas

Israel yashambulia Doha kuwalenga viongozi wa Hamas

IQNA-Ndege za kivita za Israel zimetekeleza mashambulizi ya anga dhidi ya makao makuu ya harakati za upinzani za Hamas katika mji mkuu wa Qatar, Doha,...
10 Sep 2025, 11:28
Mufti Mkuu wa Kroatia afafanua amri ya Mtume (SAW) kuhusu Umoja wa Waislamu

Mufti Mkuu wa Kroatia afafanua amri ya Mtume (SAW) kuhusu Umoja wa Waislamu

IQNA – Mufti Mkuu wa Kroatia, Sheikh Aziz Hasanović, amesema kuwa Mtume Mtukufu Muhammad (rehema na amani zimshukie) ameitoa amri kwa Ummah wa Kiislamu—na...
09 Sep 2025, 14:32
Mkutano wa Kimataifa wa Wanawake Tehran Wataka Kususiwa Kikamilifu kwa Utawala wa Kizayuni

Mkutano wa Kimataifa wa Wanawake Tehran Wataka Kususiwa Kikamilifu kwa Utawala wa Kizayuni

IQNA – Washiriki wa mkutano wa kimataifa wa wanawake uliofanyika Tehran wametoa wito wa kususiwa kwa kina kwa utawala wa Kizayuni, wakilaani vita vya mauaji...
09 Sep 2025, 14:38
Wanasayansi kutoka India, Uturuki na Iran watunukiwa Tuzo ya Mustafa (SAW) ya Mwaka 2025

Wanasayansi kutoka India, Uturuki na Iran watunukiwa Tuzo ya Mustafa (SAW) ya Mwaka 2025

IQNA – Wanasayansi watatu mashuhuri ambao ni Mohammad K. Nazeeruddin kutoka India, Mehmet Toner kutoka Uturuki, na Vahab Mirrokni kutoka Iran wametangazwa...
09 Sep 2025, 14:00
UNRWA: Njaa ya Gaza Iliyosababishwa na binadamu yaweza kusitishwa kwa azma ya kisiasa

UNRWA: Njaa ya Gaza Iliyosababishwa na binadamu yaweza kusitishwa kwa azma ya kisiasa

IQNA – Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetaja baa la njaa linaloikumba Ukanda wa Gaza kuwa ni janga lililosababishwa...
09 Sep 2025, 14:26
Mtaalamu wa Qur’ani apendekeza kuanzishwa kwa Muungano wa Kimataifa wa Kutetea Haki za Umma wa Kiislamu

Mtaalamu wa Qur’ani apendekeza kuanzishwa kwa Muungano wa Kimataifa wa Kutetea Haki za Umma wa Kiislamu

IQNA – Mtaalamu mstaafu wa Qur’ani kutoka Iran amependekeza kuundwa kwa muungano wa kimataifa wa wanazuoni wa Qur’ani ili kutetea kisheria haki za Umma...
09 Sep 2025, 13:43
Rais wa Iran atoa wito wa Umoja wa Kiislamu kukabiliana na mauaji ya Waislamu

Rais wa Iran atoa wito wa Umoja wa Kiislamu kukabiliana na mauaji ya Waislamu

IQNA – Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ametoa wito kwa mataifa ya Kiislamu kuondoa migawanyiko ya ndani na kusimama kwa umoja, akisema kuwa mshikamano...
08 Sep 2025, 16:14
Ayatullah Makarem Shirazi: Ulimwengu wa Kiislamu unahitaji umoja zaidi ya wakati wowote ule

Ayatullah Makarem Shirazi: Ulimwengu wa Kiislamu unahitaji umoja zaidi ya wakati wowote ule

IQNA-Chanzo cha kuigwa kutoka Iran, Ayatullah Mkuu Nasser Makarem Shirazi, amesisitiza haja ya ulimwengu wa Kiislamu kurejea katika kanuni ya msingi ya...
08 Sep 2025, 15:20
Watangazaji wa Kipindi cha Mahfel washiriki maadhimisho ya Milad-un-Nabi Nchini Pakistan

Watangazaji wa Kipindi cha Mahfel washiriki maadhimisho ya Milad-un-Nabi Nchini Pakistan

IQNA – Wenyeji kadhaa wa kipindi maarufu cha Mahfel kutoka Iran walialikwa kushiriki katika maadhimisho makubwa na ya muhimu zaidi ya kila mwaka ya kukumbuka...
08 Sep 2025, 15:10
Qari wa Misri aibuka mshindi katika Mashindano ya Qur'ani ya Mataifa ya BRICS nchini Brazil

Qari wa Misri aibuka mshindi katika Mashindano ya Qur'ani ya Mataifa ya BRICS nchini Brazil

IQNA – Mwakilishi wa Misri ameibuka mshindi wa kwanza katika mashindano ya kimataifa ya usomaji wa Qur'ani ya mataifa ya BRICS yaliyofanyika nchini Brazil.
08 Sep 2025, 14:56
Picha‎ - Filamu‎