IQNA

Ushirikiano katika Qur’ani Tukufu / 11

Kuandaa Mazingira ya Ndoa kwa Vijana; Mfano wa Ushirikiano Katika Qur’ani

IQNA – Ushirikiano na watu binafsi pamoja na taasisi zinazojitahidi kuandaa mazingira ya ndoa na kuundwa kwa familia kwa vijana ni miongoni mwa mifano...

Dunia yakemea shambulio la Waisraeli dhidi ya msikiti wa Palestina

IQNA – Shambulio lililofanywa na kundi la walowezi haramu wa Kizayuni dhidi ya msikiti katika eneo linalokaliwa kwa mabavu na Israel Ukingo wa Magharibi...

Rais wa Iran: Mashindano ya Qur’ani ni Jukwaa la Kukuza Ushirikiano

IQNA – Katika ujumbe wake kwa washiriki wa mashindano ya 17 ya kitaifa ya Qur’ani “Mudha Mattan”, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Dkt. Masoud Pezeshkian,...
Qur’ani ni Chemchemi ya Maarifa

Ayatullah Makarim Shirazi atoa wito wa matumizi ya Akili Mnemba (AI) kwa msingi wa Kiislamu

IQNA – Mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini Iran amesisitiza kuwa akili mnemba (AI) inapaswa kutumika kwa lengo la kuendeleza Qur’ani Tukufu, akibainisha...
Habari Maalumu
Mwanazuoni wa Kiislamu: Akili Mnemba haiwezi kuchukua nafasi ya akili ya mwanadamu wala nafsi ya roho

Mwanazuoni wa Kiislamu: Akili Mnemba haiwezi kuchukua nafasi ya akili ya mwanadamu wala nafsi ya roho

IQNA – Mwanazuoni mwandamizi kutoka Iran amesema kuwa Akili Mnemba (AI) au akili ya kutengenezwa kimitambo haiwezi kufikia hadhi ya akili ya mwanadamu...
15 Nov 2025, 10:32
Mwanazuoni: Qur’ani Tukufu Ni Ramani ya Maisha Mema

Mwanazuoni: Qur’ani Tukufu Ni Ramani ya Maisha Mema

IQNA – Qur’an Tukufu ni ramani ya kuishi maisha mema, amesema mwanazuoni wa Kiislamu nchini Iran, akiongeza kuwa wale wanaoshikamana zaidi na Qur’ani huishi...
14 Nov 2025, 20:14
Wavamizi wa Kizayunii Waharibu Msikiti, Wavunjia Heshima Qur’ani Ukingo wa Magharibi

Wavamizi wa Kizayunii Waharibu Msikiti, Wavunjia Heshima Qur’ani Ukingo wa Magharibi

IQNA – Wavamizi wa Kizayuni wasiokuwa halali waliharibu msikiti katika mji wa Deir Istiya, Ukingo wa Magharibi, usiku wa Alhamisi, wakichoma sehemu za...
14 Nov 2025, 20:26
Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an kwa Wanafunzi Waislamu: Viongozi na Kamati Tendaji Wateuliwa

Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an kwa Wanafunzi Waislamu: Viongozi na Kamati Tendaji Wateuliwa

IQNA – Mwenyekiti, katibu na wajumbe wa kamati tendaji ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur’an kwa Wanafunzi Waislamu wametambulishwa rasmi.
14 Nov 2025, 19:33
Qatar yafungua Maonyesho ya Qur’ani Sambamba na Mashindano ya Kieneo

Qatar yafungua Maonyesho ya Qur’ani Sambamba na Mashindano ya Kieneo

IQNA – Wizara ya Awqaf na Mambo ya Kiislamu ya Qatar imezindua maonyesho ya Qur’an sambamba na toleo la 30 la Mashindano ya Qur’an ya Sheikh Jassim bin...
14 Nov 2025, 20:02
Tarouti: Sauti ya Sheikh Sha’sha’i iliwafanya wasikilizaji wahisi Utukufu wa Qur’ani

Tarouti: Sauti ya Sheikh Sha’sha’i iliwafanya wasikilizaji wahisi Utukufu wa Qur’ani

IQNA – Qari mashuhuri wa Misri, Abdul Fattah Tarouti, amemuelezea marehemu Sheikh Abdul Fattah Sha’sha’i kuwa ni msomaji wa Qur’an aliyebeba sauti ya kipekee...
14 Nov 2025, 18:49
Vipindi vya televisheni Misri kulenga kutambua vipaji vya Qur’ani

Vipindi vya televisheni Misri kulenga kutambua vipaji vya Qur’ani

IQNA – Kipindi cha televisheni kiitwacho “Dawlat al Telawah”, ambacho ndicho shindano kubwa zaidi cha vipaji vya usomaji na tartiil ya Qur’ani, kimepangwa...
13 Nov 2025, 12:55
Libya yaandaa Mashindano ya Qur’ani kwa wanafunzi

Libya yaandaa Mashindano ya Qur’ani kwa wanafunzi

IQNA – Mashindano ya kuhifadhi Qur’ani kwa wanafunzi wa shule yameanza mjini Zliten, Libya, Jumanne, tarehe 11 Novemba.
13 Nov 2025, 12:47
Waziri Mkuu wa Iraq atembelea Haram ya Kadhimiya baada ya ushindi wa uchaguzi

Waziri Mkuu wa Iraq atembelea Haram ya Kadhimiya baada ya ushindi wa uchaguzi

IQNA – Waziri Mkuu wa Iraq, Muhammad Shia Al-Sudani, amesafiri hadi Kadhimiya, kaskazini mwa Baghdad, kutembelea makaburi matakatifu  baada ya kutangazwa...
13 Nov 2025, 12:44
Sala ya kuomba mvua taifa zima yaswaliwa Saudia

Sala ya kuomba mvua taifa zima yaswaliwa Saudia

IQNA – Sala ya Istisqa (swala ya kuomba mvua) imeswaliwa leo Alhamisi, kufuatia sunnah ya Mtume Muhammad (SAW) ya kuomba rehema ya Mwenyezi Mungu kupitia...
13 Nov 2025, 12:39
Mashindano ya Qur’ani kwa wenye ulemavu wa macho yafanyika Kuwait

Mashindano ya Qur’ani kwa wenye ulemavu wa macho yafanyika Kuwait

IQNA – Mashindano ya kwanza ya kitaifa ya Qur’ani kwa watu wenye ulemavu wa macho nchini Kuwait yamefanyika kwa juhudi za Taasis ya Mutamayizin kwa Huduma...
13 Nov 2025, 12:27
Bibi Fatima: Mwanga wa Subira na Imani Unaong’aa Hadi Leo – Profesa wa Marekani

Bibi Fatima: Mwanga wa Subira na Imani Unaong’aa Hadi Leo – Profesa wa Marekani

IQNA – Bibi Fatima (SA) ni mfano wa subira kuu na mwanga wake unaendelea kung’aa, asema Profesa wa dini kutoka Marekani.
12 Nov 2025, 17:54
Karne moja baadae, sauti ya Sheikh al‑Sha’sha’i bado yavutia wengi

Karne moja baadae, sauti ya Sheikh al‑Sha’sha’i bado yavutia wengi

IQNA – Kumbukumbu ya kifo cha Sheikh Abdul Fattah al‑Sha’sha’i ni ukumbusho wa moja kati ya wasomaji Qur'ani mashuhuri zaidi wa Misri, ambaye unyenyekevu...
12 Nov 2025, 15:20
Mifano Ushirikiano Kwa Msingi wa Katika Qur’ani Tukufu
Ushirikiano Katika Qur’ani Tukufu/10

Mifano Ushirikiano Kwa Msingi wa Katika Qur’ani Tukufu

IQNA – Mifano ya ushirikiano unaojengwa juu ya msingi wa kheri na uchamungu, kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu, haijabana tu katika kutoa mali na sadaka kwa...
11 Nov 2025, 18:40
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ajibu kwa Aya ya Qur’ani ripoti ya New York Times kuhusu majenerali wa Marekani

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ajibu kwa Aya ya Qur’ani ripoti ya New York Times kuhusu majenerali wa Marekani

IQNA – Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei, amejibu ripoti ya gazeti la New York Times kuhusu kufukuzwa kwa baadhi ya majenerali...
11 Nov 2025, 18:27
Mauritania: Mpango wa ‘Furqan’ wazinduliwa kwa ajili ya kuimarisha elimu ya Qur’ani kwa wanafunzi yatima

Mauritania: Mpango wa ‘Furqan’ wazinduliwa kwa ajili ya kuimarisha elimu ya Qur’ani kwa wanafunzi yatima

IQNA – Mpango mpya wa kielimu uitwao Furqan umeanzishwa mjini Nouakchott kwa lengo la kuwasaidia wanafunzi yatima kuboresha uwezo wao wa kuhifadhi na kusoma...
11 Nov 2025, 18:22
Picha‎ - Filamu‎