IQNA

Hazina ya Hati za Timbuktu: Urithi Uliookolewa Kutoka Makucha ya Wakoloni wa Kifaransa Barani Afrika

Hazina ya Hati za Timbuktu: Urithi Uliookolewa Kutoka Makucha ya Wakoloni wa Kifaransa Barani Afrika

IQNA – Maelfu ya hati kutoka kwa mamia ya waandishi kuhusu elimu ya Qur’ani, hisabati, unajimu, na nyota zinapatikana katika hazina ya Timbuktu, ambayo ni sehemu muhimu ya turathi ya maarifa ya kibinadamu, Kiarabu, na Kiislamu yaliyoandikwa.
18:35 , 2025 Sep 15
Mji Mkuu wa Yemen wenyeji mkutano wa kimataifa wa “Mtume Mkuu (SAW)”

Mji Mkuu wa Yemen wenyeji mkutano wa kimataifa wa “Mtume Mkuu (SAW)”

IQNA – Toleo la tatu la Mkutano wa Kimataifa wa “Mtume Mkuu (SAW)” ulianza Jumamosi katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a.
18:23 , 2025 Sep 15
Msomi: Kuporomoka kwa elimu na mgawanyiko viliwezesha sera za ukoloni Katika Ulimwengu wa Kiislamu

Msomi: Kuporomoka kwa elimu na mgawanyiko viliwezesha sera za ukoloni Katika Ulimwengu wa Kiislamu

IQNA – Hujjatul-Islam Ali Abbasi, mjumbe wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu nchini Iran, amesema kuwa madola ya kikoloni ya Magharibi yaliendeleza sera zao katika maeneo ya Waislamu kupitia sababu kuu mbili: kuporomoka kwa elimu miongoni mwa Waislamu na mgawanyiko ndani ya jamii za Kiislamu.
18:14 , 2025 Sep 15
Wanawake Waislamu wa Belarus wazindua daftari maridadi la Aya za Qur'an za Mafunzo ya Kila Siku

Wanawake Waislamu wa Belarus wazindua daftari maridadi la Aya za Qur'an za Mafunzo ya Kila Siku

IQNA – Kundi la wanawake Waislamu wanaojihusisha na harakati za kidini nchini Belarus limezindua mradi wa kipekee wa kueneza ujumbe wa Qur'an uitwao “Katika Njia ya Tabia Njema.”
18:04 , 2025 Sep 15
Rais wa Iran awasihi Waislamu kukata uhusiano wowote na Israel

Rais wa Iran awasihi Waislamu kukata uhusiano wowote na Israel

IQNA – Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amezitaka nchi za Kiislamu kukata kabisa uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel, kabla ya mkutano wa dharura utakaofanyika Doha kufuatia shambulizi la hivi karibuni la Israel dhidi ya Qatar.
12:58 , 2025 Sep 15
Umoja wa Kiislamu ni msingi wa kujenga ustaarabu mpya wa Kiislamu

Umoja wa Kiislamu ni msingi wa kujenga ustaarabu mpya wa Kiislamu

IQNA – Katibu wa Baraza Kuu la Mapinduzi ya Kiutamaduni la Iran amesema kuwa umoja wa Waislamu ni muhimu si tu kwa ajili ya kujilinda, bali pia kwa ajili ya kuunda ustaarabu mpya wa Kiislamu.
14:40 , 2025 Sep 14
Uongozi wa Mtume Muhammad (SAW) Ulijaa Rehema na Umoja

Uongozi wa Mtume Muhammad (SAW) Ulijaa Rehema na Umoja

IQNA – Msomo mmoja wa Kiislamu kutoka Iran amesisitiza kuwa mfano wa Mtume Muhammad (SAW) katika uvumilivu, msamaha na uongozi wa kuunganisha jamii ni wa kipekee na haujawahi kulinganishwa hadi leo.
14:15 , 2025 Sep 14
Maktaba ya Sayansi ya Qur’ani na Hadithi huko Qom

Maktaba ya Sayansi ya Qur’ani na Hadithi huko Qom

IQNA – Maktaba maalum ya Sayansi ya Hadithi mjini Qom, Iran imekua na kuwa kituo muhimu cha utafiti, ikijitokeza kwa mkusanyiko wake mpana, vyanzo vilivyosasishwa, na mtazamo wake wa kuunga mkono wasomi. Ina uwezo wa kuwa rejea kuu katika taaluma ya Hadithi ndani ya vyuo vya kidini na hata nje yake. Picha zimechukuliwa mwezi Septemba 2025.
14:01 , 2025 Sep 14
Misikiti ya Uskochi yakabiliwa na hatari za hujuma za kigaidi, yaimarisha usalama

Misikiti ya Uskochi yakabiliwa na hatari za hujuma za kigaidi, yaimarisha usalama

IQNA – Misikiti kote Uskochi au Scotland nchini Uingereza imeongeza kwa kiwango kikubwa hatua za kiusalama, ikiwemo kuajiri walinzi binafsi na kuweka ulinzi wa saa 24, kufuatia njama ya kigaidi iliyozimwa na ongezeko la mashambulizi ya chuki dhidi ya Uislamu.
13:35 , 2025 Sep 14
Mtoto wa Kipalestina ahifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu kukiwa na Vita vya Mauaji ya Kimbari Gaza

Mtoto wa Kipalestina ahifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu kukiwa na Vita vya Mauaji ya Kimbari Gaza

IQNA – Al-Baraa ni mtoto wa Kipalestina mwenye umri wa miaka 12 ambaye, licha ya vita na mashambulizi ya mabomu ya utawala katili wa Israel dhidi katika Ukanda wa Gaza, ameweza kuhifadhi Qur’ani Tukufu yote.
13:21 , 2025 Sep 14
Mtaalamu: Shambulizi la Israeli dhidi ya Qatar limethibitisha usahihi wa sera za Iran

Mtaalamu: Shambulizi la Israeli dhidi ya Qatar limethibitisha usahihi wa sera za Iran

IQNA – Shambulizi la hivi karibuni la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Qatar limethibitisha usahihi wa sera za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kipindi cha miaka 45 iliyopita, hususan kuhusu msimamo wa kutokufanya maridhiano na utawala wa Tel Aviv. Hayo ni kwa mujibu wa mtaalamu wa masuala ya Asia ya Magharibi.
13:13 , 2025 Sep 14
Baraza Kuu la UN laidhinisha kuundwa Dola la Palestina

Baraza Kuu la UN laidhinisha kuundwa Dola la Palestina

IQNA-Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) limepitisha kwa wingi mkubwa sana wa kura "Azimio la New York" linalotoa mwongozo wa kuchukuliwa "hatua zinazoonekana, katika muda maalumu na zisizoweza kutenduliwa" kuelekea kwenye uundwaji wa Dola la Palestina.
16:19 , 2025 Sep 13
Waswasi watanda baada ya Msikiti wa Taunton Uingereza kuvunjwa katika tukio la chuki

Waswasi watanda baada ya Msikiti wa Taunton Uingereza kuvunjwa katika tukio la chuki

IQNA – Kitendo cha kuvunjwa kwa madirisha ya Msikiti wa Taunton, nchini Uingereza, kimezua hasira na huzuni miongoni mwa wanajamii wa eneo hilo, huku polisi wakikitaja tukio hilo kuwa ni uhalifu wa chuki unaochochewa na misingi ya kidini au ya rangi.
16:08 , 2025 Sep 13
Nasaha za Mtume Muhammad (SAW) Kuhusu Qur’ani na Vikao vya Qur’ani

Nasaha za Mtume Muhammad (SAW) Kuhusu Qur’ani na Vikao vya Qur’ani

IQNA – Mtume Muhammad (SAW), kipenzi cha Umma wa Kiislamu, alitoa mwongozo wa wazi kwa ajili ya kukuza roho na imani ya Waislamu kwa kusisitiza umuhimu wa kufahamu Qur’ani, kutafakari aya zake, na kushiriki katika vikao vya Qur’ani.
15:55 , 2025 Sep 13
Mashindano ya Qur’ani kwa mnasaba wa Maulid ya Mtume Muhammad (SAW) Nchini Algeria

Mashindano ya Qur’ani kwa mnasaba wa Maulid ya Mtume Muhammad (SAW) Nchini Algeria

IQNA – Wizara ya Mambo ya Kidini na Wakfu ya Algeria imetangaza kuwa shughuli za Wiki ya 27 ya Kitaifa ya Qur’ani zitaanza Jumatatu, Septemba 15, katika mkoa wa Boumerdes.
15:46 , 2025 Sep 13
1