IQNA

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya Nane

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya Nane

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
00:55 , 2024 Mar 19
Mtaalamu wa Kipindi cha Televisheni cha Mahfel: Mwenyezi Mungu Hubariki Kazi za Qur’ani­­

Mtaalamu wa Kipindi cha Televisheni cha Mahfel: Mwenyezi Mungu Hubariki Kazi za Qur’ani­­

IQNA – Kipindi maalum cha televisheni cha Mwezi wa Ramadhani  cha ‘Mahfel’ ni kazi ya Qur’ani na ndiyo maana kimebarikiwa na Mwenyezi Mungu, mmoja wa wataalamu wa kipindi hicho alisema.
22:10 , 2024 Mar 18
Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 7

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 7

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 7 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
09:51 , 2024 Mar 18
Ramadhani katika Maneno ya Mtukufu Mtume (SAW)

Ramadhani katika Maneno ya Mtukufu Mtume (SAW)

IQNA - Moja ya Hadith maarufu zilizosimuliwa kuhusu Ramadhani ni katika khutba ya Mtukufu Mtume (SAW) iliyotolewa katika Ijumaa ya mwisho ya mwezi wa Shaaban.
08:14 , 2024 Mar 18
Rais Samia wa Tanzania awatunuku zawadi washindi mashindano ya Qur'ani

Rais Samia wa Tanzania awatunuku zawadi washindi mashindano ya Qur'ani

IQNA-Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametoa zawadi ya Sh milioni 10 kwa washindi wa kitaifa wa mashindano ya kuhifadhi Quran, akiongezea katika zawadi zilizotolewa na wadau wengine ikiwemo nyumba kwa walioshika nafasi za juu katika mashindano hayo.
07:17 , 2024 Mar 18
Mkutano wa kukurubisha madhehebu za Kiislamu wafanyika Makka

Mkutano wa kukurubisha madhehebu za Kiislamu wafanyika Makka

IQNA - Jumuiya ya Waislamu Duniani (WML) imeandaa mkutano unaolenga kukuza maelewano kati ya madhehebu za Kiislamu.
06:22 , 2024 Mar 18
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya Saba

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya Saba

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
06:07 , 2024 Mar 18
Huduma maalum kwa Waislamu Milioni 5.2 wanaotembelea Msikiti wa Mtume (SAW)

Huduma maalum kwa Waislamu Milioni 5.2 wanaotembelea Msikiti wa Mtume (SAW)

IQNA – Msikiti wa Mtume (SAW) Al-Masjid an-Nabawi katika mji wa Madina nchini Saudia ulishuhudia Waislamu wengi wakitiririka katika siku za kwanza za mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu, huku zaidi ya waumini milioni 5.2, wakiwemo wanaoshiriki Hija ndogo ya Umrah wakiingia katika msikiti huo kwa ajili ya Sala za kila siku.
20:54 , 2024 Mar 17
Televisheni ya Al-Thaqalayn yazindua Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani

Televisheni ya Al-Thaqalayn yazindua Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani

IQNA - Televisheni ya satelaiti ya Al-Thaqalayn imeanza kurusha mashindano yake ya kwanza la kimataifa la usomaji wa Tarteel wa Qur'ani Tukufu.
20:38 , 2024 Mar 17
Waislamu Houston Marekani wasusia futari kuonyesha mshikamano na Gaza

Waislamu Houston Marekani wasusia futari kuonyesha mshikamano na Gaza

IQNA - Huko Houston, Marekani Waislamu wametangaza kususia hafla ya 25 ya kila mwaka ya Futari ambayo kulalmikia mwaliko kwa viongozi wa serikali.
16:14 , 2024 Mar 17
Maktaba Riyadh yazindua maonyesho ya Misahafu iliyopambwa

Maktaba Riyadh yazindua maonyesho ya Misahafu iliyopambwa

IQNA - Maktaba ya Umma ya Mfalme Abdulaziz mjini Riyadh imezindua maonyesho yenye nakala 42 za Qur'ani 42 ambazo kila moja imeandikwa kwa kaligrafia ya Kiislamu na mapambo ya aina yake.
15:34 , 2024 Mar 17
Ramadhani 1445 H katika maeneo mbali mbali ya dunia: Ukumbi wa Picha

Ramadhani 1445 H katika maeneo mbali mbali ya dunia: Ukumbi wa Picha

Waislamu kote duniani wako katika sumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Huu ni mwezi ambao mbali na kufunga, Waislamu hukithirisha vitendo vya ibada, kutoa sadaqa na kujumuika pamoja jioni wakati wa futari.
15:20 , 2024 Mar 17
Wapalestina Waswali Ijumaa ya Kwanza ya Ramadhani katika msikiti uliobomolewa + Video

Wapalestina Waswali Ijumaa ya Kwanza ya Ramadhani katika msikiti uliobomolewa + Video

IQNA- Katika harakati inayoashiria istiqama, Wapalestina katika Ukanda wa Gaza siku ya Ijumaa walishiriki katika sala ya kwanza ya Ijumaa katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani Machi 15 katika eneo lenye mabaki ya Msikiti wa Rafah ambalo ulibomolewa hivi karibuni katika hujuma ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
15:05 , 2024 Mar 17
Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 6

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 6

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 6 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
14:56 , 2024 Mar 17
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya Sita

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya Sita

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
05:26 , 2024 Mar 17
1