IQNA

Matukio ya Hija 1446  Katika Picha

Matukio ya Hija 1446 Katika Picha

IQNA – Kila mwaka wakati wa Hija, mamilioni ya Waislamu kutoka pembe zote za dunia hukusanyika kutekeleza ibada hii tukufu.
15:37 , 2025 Jun 09
Mfungamano wa Hija na Imani ya Nabii Ibrahim

Mfungamano wa Hija na Imani ya Nabii Ibrahim

IQNA – Qur’ani Tukufu inawakumbusha Watu wa Kitabu (Ahlul Kitab), wanaojinasibu kuwa wafuasi wa Nabii Ibrahim (AS), kuwa ikiwa madai yao ni ya kweli, basi wanapaswa kuamini msingi wa Ibrahimu katika ujenzi wa Kaaba na kuitambua kama Qibla (eneo la kuelekea wakati wa swala) ya kweli ya Mwenyezi Mungu.
15:32 , 2025 Jun 09
Pazia jipya la Kaaba lapokewa rasmi kabla ya sherehe ya mwaka ya kulibadilisha

Pazia jipya la Kaaba lapokewa rasmi kabla ya sherehe ya mwaka ya kulibadilisha

IQNA – Pazia jipya linalofunika Al-Kaaba Tukufu mjini Makkah, ambalo hujulikana kama Kiswa, limekabidhiwa rasmi kwa wasimamizi wa Msikiti Mtakatifu wa Makka yaani Masjid al Haram, ikiwa ni ishara ya mwanzo wa taratibu za kila mwaka za kubadilisha kiswahili hilo.
15:21 , 2025 Jun 09
Makumbusho ya Qiraa ya Qur'ani yazinduliwa Caiaro ili kuhifadhi turathi ya sauti

Makumbusho ya Qiraa ya Qur'ani yazinduliwa Caiaro ili kuhifadhi turathi ya sauti

IQNA – Makumbusho mapya yanayolenga kuhifadhi kumbukumbu adimu za Qiraa au usomaji wa Qur'ani wa maqari maarufu wa Misri yanatarajiwa kufunguliwa katika jengo la kihistoria la Maspero jijini Cairo, katika makao ya redio na televisheni ya taifa.
15:14 , 2025 Jun 09
Makumbusho ya Qur'ani Makkah yaonesha hati adimu

Makumbusho ya Qur'ani Makkah yaonesha hati adimu

IQNA – Maonesho ya kudumu katika Makumbusho ya Qur'ani jijini Makkah yanawapa wageni tajiriba ya kipekee ya kiutamaduni na kiroho kupitia hati nadra za Qur'ani na nakala kubwa zaidi ya Qur'ani duniani.
15:08 , 2025 Jun 09
Saudia yalitunuku Shirika la Hija la Iran Tuzo ya Labaytum ya  Huduma Bora za Hija

Saudia yalitunuku Shirika la Hija la Iran Tuzo ya Labaytum ya Huduma Bora za Hija

IQNA – Shirika la Hija la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetunukiwa Tuzo ya Labaytum kwa ubora katika Huduma kwa Mahujaji.
15:04 , 2025 Jun 09
Tafsiri ya Kwanza ya  Kiingereza ya Qur’ani iliyoandikwa na Muhammad al-Asi 

Tafsiri ya Kwanza ya  Kiingereza ya Qur’ani iliyoandikwa na Muhammad al-Asi 

IQNA – Tafsiri ya Qur’ani Tukufu  iliyoandikwa na Muhammad al-Asi ni ya aina yake kwani ni ya kwanza iliyooandikwa moja kwa moja kwa lugha ya Kiingereza. 
17:46 , 2025 Jun 08
MWL yapongezahukumu dhidi ya aliyeteketeza moto Qur’ani London

MWL yapongezahukumu dhidi ya aliyeteketeza moto Qur’ani London

IQNA – Jumuiya ya Waislamu Duniani (MWL) imekaribisha uamuzi wa mahakama ya Uingereza kumtia hatiani mtu aliyeteketeza moto nakala ya Qur’ani Tukufu mjini London. 
17:09 , 2025 Jun 08
Kitabu Kipya cha Sayansi ya Qur’ani kutimika katika vyuo vya Kiislamu nchini Iran

Kitabu Kipya cha Sayansi ya Qur’ani kutimika katika vyuo vya Kiislamu nchini Iran

IQNA – Kitabu kipya kilichoandikwa kuhusu sayansi ya Qur’ani kimetangazwa rasmi kama rasilimali ya elimu kwa wanafunzi wa kiwango cha kwanza katika vyuo vya Kiislamu kote Iran.
16:59 , 2025 Jun 08
Maelfu ya Waislamu wamesherehekea Eid Katika Msikiti wa Kati wa Glasgow

Maelfu ya Waislamu wamesherehekea Eid Katika Msikiti wa Kati wa Glasgow

IQNA – Maelfu ya waumini walikusanyika katika Msikiti wa Kati huko Glasgow, Scotland, kwa sala maalum kuadhimisha Idul Adha.
16:51 , 2025 Jun 08
Karibu Waislamu Milioni 1.7 wametimiza ibada ya Hija nchini Saudia

Karibu Waislamu Milioni 1.7 wametimiza ibada ya Hija nchini Saudia

IQNA – Takriban Mahujaji milioni 1.7 wamekusanyika katika ardhi tukufu ya Saudi Arabia kumaliza ibada muhimu za Hija, ambazo zilihitimishwa kwa ibada ya kutupa mawe katika eneo la Mina na kuzunguka Kaaba kwa mara ya mwisho (Tawafu ya kuaga) katika Msikiti Mtukufu wa Makkah.
08:16 , 2025 Jun 08
Vitendo vya Chuki dhidi ya Uislamu na uharibifu wa chakula katika duka la Pizza Marekani

Vitendo vya Chuki dhidi ya Uislamu na uharibifu wa chakula katika duka la Pizza Marekani

IQNA – Malalamiko ya ukiukaji wa haki za kiraia yamewasilishwa kwa Idara ya Haki za Kiraia ya Jimbo la Michigan nchini Marekani dhidi ya tawi la Domino’s Pizza lililoko Waterford, kufuatia ripoti ya ubaguzi wa kidini na uharibifu wa chakula uliowalenga wanawake wawili Waislamu na watoto wao.
16:43 , 2025 Jun 07
Maelfu washiriki Swala ya Iddi  eneo la Bain-ul-Haramain, Karbala, Iraq

Maelfu washiriki Swala ya Iddi eneo la Bain-ul-Haramain, Karbala, Iraq

IQNA – Maelfu ya wafanyaziara na wakazi wa Karbala walikusanyika kwa wingi kushiriki Swala ya Iddi ul Adha iliyoswaliwa Jumamosi katika eneo la Bain-ul-Haramain.
16:36 , 2025 Jun 07
Wito wa kushtakiwa walioshambulia Ofisi ya Ayatullah Sistani nchini Syria

Wito wa kushtakiwa walioshambulia Ofisi ya Ayatullah Sistani nchini Syria

IQNA – Khatibu wa Swala ya Ijumaa jijini Baghdad amesisitiza umuhimu wa kuwachukulia hatua kali waliotekeleza shambulizi dhidi ya ofisi ya Ayatullah Ali Sistani mjini Damascus, mji mkuu wa Syria.
16:25 , 2025 Jun 07
Usomaji wa Aya za Qur'ani wa wanachama wa Msafara Nur katika Mlima Arafat

Usomaji wa Aya za Qur'ani wa wanachama wa Msafara Nur katika Mlima Arafat

IQNA – Wanachama wa Msafara wa Nur wa Wasomaji Qur'ani Tukufu na Waimbaji Qasida kutoka Iran, ambao kwa sasa wako katika ardhi takatifu kama sehemu ya Msafara wa Qur’ani wa Nur, walitoa maonyesho mawili maalum katika usiku wa Arafah huko Mlima Arafat (Jabal al-Rahmah). Walisoma kwa pamoja aya takatifu kutoka Qur’ani Tukufu kwa mtindo wa pamoja na kisha wakaimba Tawashih – wimbo wa kitamaduni wa Kiislamu unaohuisha imani.
15:45 , 2025 Jun 07
4