Zaidi ya mahujaji milioni 1.5 wameanza ibada ya Hija katika mji mtakatifu wa Makkah. Picha zifuatazo za siku ya kwanza ya Hija ya mwaka 1446 Hijria Qamaria (2025) zinaonyesha taswira safi za ibada yenye unyenyekevu na shauku ya kuungana na Mola Mlezi.
16:41 , 2025 Jun 06