IQNA

Kutoka Gizani Hadi Nuru: Kisha Mtaalamu wa Kijerumani aliyegundua Ukweli wa Qur’ani Tukufu

Kutoka Gizani Hadi Nuru: Kisha Mtaalamu wa Kijerumani aliyegundua Ukweli wa Qur’ani Tukufu

IQNA- Kisa cha kweli cha  Alfred Huber ni simulizi ya mtu aliyesafiri kimwili na kiroho, akivuka dini, tamaduni na lugha, hadi alipogundua mwangaza wa Qur’ani Tukufu.
16:42 , 2025 Sep 27
Yemen yaendeleza oparesheni za kijeshi dhidi ya utawala katili wa Israel

Yemen yaendeleza oparesheni za kijeshi dhidi ya utawala katili wa Israel

IQNA-Jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limesema ndege isiyo na rubani iliyorushwa kutoka Yemen imeshambulia mji wa kusini wa Eilat na kujeruhi watu 22 wakiwemo wawili ambao hali zao ni mahututi. Hayo yanajiri wakati jeshi la kizayuni likiwa lingali linaendeleza vita vyake vya kinyama na mauaji ya kimbari ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
15:22 , 2025 Sep 26
Iran yaongeza maradufu idadi ya safari za ndege za Umrah

Iran yaongeza maradufu idadi ya safari za ndege za Umrah

IQNA – Idadi ya safari za ndege zinazowasafirisha waumini wa ibada ya Umrah kutoka Iran kwenda Saudi Arabia imeongezeka tangu mwanzo wa wiki hii.
15:14 , 2025 Sep 26
Meya wa London Sadiq Khan amjibu Trump, amtaja kuwa mbaguzi mwenye chuki dhidi ya Uislamu’

Meya wa London Sadiq Khan amjibu Trump, amtaja kuwa mbaguzi mwenye chuki dhidi ya Uislamu’

IQNA- Meya wa jiji la London, Sadiq Khan, amemjibu kwa ukali Rais wa Marekani Donald Trump, akimtuhumu kuwa “mbaguzi wa rangi, jinsia, wanawake na mwenye chuki dhidi Uislamu” baada ya Trump kutumia hotuba yake katika Umoja wa Mataifa kumuita Khan “meya mbaya” na kudai kuwa jiji la London linaelekezwa kwenye “sheria ya Kiislamu (sharia)”.
15:07 , 2025 Sep 26
Maldivi Kuweka Matawi ya Kituo cha Qur'ani kwenye kila kisiwa nchini humo

Maldivi Kuweka Matawi ya Kituo cha Qur'ani kwenye kila kisiwa nchini humo

IQNA – Serikali ya Maldivi (Maldives) inakusudia kuanzisha matawi ya Kituo cha Qurani katika visiwa vyote vya nchi hiyo.
14:30 , 2025 Sep 26
Watu wanne wauawa katika maandamano kizazi cha Gen-Z  eneo la Waislamu wengi la Ladakh, India

Watu wanne wauawa katika maandamano kizazi cha Gen-Z eneo la Waislamu wengi la Ladakh, India

IQNA – Waandamanaji wamepambana na vikosi vya usalama vya India katika jimbo lenye Waislamu wengi la Ladakh siku ya Jumatano, na ripoti zikisema angalau waandamanaji wanne wameuawa.
14:14 , 2025 Sep 26
Rais Pezeshkian Akihutubia UNGA: Hujuma ya Marekani na Israel dhidi ya Iran ilikuwa usaliti kwa diplomasia

Rais Pezeshkian Akihutubia UNGA: Hujuma ya Marekani na Israel dhidi ya Iran ilikuwa usaliti kwa diplomasia

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mashambulizi ya anga ya “kikatili” yaliyofanywa na Marekani na Israel mwezi Juni katika ardhi ya Iran na kusema yalikuwa usaliti kwa diplomasia.
09:42 , 2025 Sep 25
Kiongozi Muadhamu: Hakuna manufaa katika mazungumzo ya Iran na Marekani

Kiongozi Muadhamu: Hakuna manufaa katika mazungumzo ya Iran na Marekani

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amepinga ombi la Washington la mazungumzo ya nyuklia na kusema kwamba hakuna taifa lolote huru na lenye heshima linaloweza kukubali mazungumzo chini ya mashinikizo.
17:31 , 2025 Sep 24
Polisi wachunguza hujuma dhidi ya Msikiti nchini Uswidi

Polisi wachunguza hujuma dhidi ya Msikiti nchini Uswidi

IQNA – Moto umeteketeza msikiti katika mji wa kusini wa Hultsfred, nchini Uswidi, usiku wa kuamkia Jumanne, na kuharibu kabisa jengo hilo.
17:27 , 2025 Sep 24
Ni lini uchapishaji wa Qur’ani ulianza nchini Ujerumani?

Ni lini uchapishaji wa Qur’ani ulianza nchini Ujerumani?

IQNA – Wanazuoni wa Kijerumani walikuwa na hamu ya kujifunza Uislamu na Qur’ani Tukufu, na tangu karne ya 17, Wajerumani walianza kuchapisha Qur’ani nchini mwao ili kurahisisha masomo na tafsiri yake.
17:23 , 2025 Sep 24
Mwanazuoni wa Pakistan Asema Umoja wa Kiislamu Ndio Mkakati Mkuu Dhidi ya Njama za Israel

Mwanazuoni wa Pakistan Asema Umoja wa Kiislamu Ndio Mkakati Mkuu Dhidi ya Njama za Israel

IQNA – Mwanazuoni mashuhuri kutoka Pakistan amesema kwamba njia muhimu zaidi ya kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel ni kupitia umoja wa Ulimwengu wa Waislamu.
17:17 , 2025 Sep 24
Shirika la Awqaf Latangaza Majina ya waliofuzu fainali za Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani ya Iran

Shirika la Awqaf Latangaza Majina ya waliofuzu fainali za Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani ya Iran

IQNA – Majina ya wale wanaostahiki kushiriki katika hatua ya fainali ya Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Iran yametangazwa.
17:11 , 2025 Sep 24
Kumkumbuka Sheikh Mahmoud Khalil al‑Hussary: Qari mwenye Unyenyekevu na Huruma

Kumkumbuka Sheikh Mahmoud Khalil al‑Hussary: Qari mwenye Unyenyekevu na Huruma

IQNA – Sheikh Mahmoud Khalil al‑Hussary, mmoja wa maqari mashuhuri wa Misri, anakumbukwa kwa umahiri wake wa kusoma Qur’ani, huruma, na unyenyekevu.
17:03 , 2025 Sep 24
Baraza la Wahindu latuhumiwa kwa Chuki Dhidi ya Uislamu nchini Australia

Baraza la Wahindu latuhumiwa kwa Chuki Dhidi ya Uislamu nchini Australia

IQNA – Tume ya Haki za Binadamu ya Australia imeanzisha uchunguzi kufuatia malalamiko dhidi ya Baraza la Wahindu la Australia, likiwemo Rais wake Sai Paravastu na Mkuu wa Idara ya Habari Neelima Paravastu, wakidaiwa kujihusisha mara kwa mara na matamshi ya chuki dhidi ya Uislamu kuanzia Mei 2024 hadi Julai 2025.
18:38 , 2025 Sep 23
Qibla ya Pamoja inapaswa kuwa chanzo cha

Qibla ya Pamoja inapaswa kuwa chanzo cha "Umoja wa Kweli,” asema mwanazuoni wa Malaysia

IQNA – Mwanazuoni na mwanaharakati kutoka Malaysia ametoa wito kwa Waislamu kote duniani kuonesha mshikamano kwa vitendo badala ya maneno, akisisitiza kuwa Qibla ya pamoja inapaswa kuwa msingi wa mshikamano wa Ummah.
18:38 , 2025 Sep 23
5