IQNA

Msikiti Mkuu wa Algiers kupokea wanafunzi wa kimataifa wa shahada ya uzamivu

Msikiti Mkuu wa Algiers kupokea wanafunzi wa kimataifa wa shahada ya uzamivu

IQNA-Msikiti Mkuu wa Algiers umetangaza utayari wa kupokea wanafunzi wa kimataifa wa shahada ya uzamivu (PhD) katika Shule ya Juu ya Sayansi za Kiislamu (Dar-ul-Quran).
15:43 , 2025 Nov 30
 Hizbullah yamtaka Papa Leo kulaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Lebanon

 Hizbullah yamtaka Papa Leo kulaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Lebanon

IQNA – Harakati ya mapambano ya Hizbullah nchini Lebanon imemtaka Kiongozi wa Kanisa Katoliki kulaani ukiukaji wa makubaliano ya kusitisha vita na mashambulizi ya Israel dhidi ya taifa hilo la Kiarabu.
15:28 , 2025 Nov 30
Profesa Mashuhuri wa Lyon aliyetarjumu Qur'ani Tukufu

Profesa Mashuhuri wa Lyon aliyetarjumu Qur'ani Tukufu

IQNA – Mohamed Ameur Ghedira alikuwa profesa mashuhuri katika Chuo Kikuu cha Lyon aliyetarjumu Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kifaransa.
15:22 , 2025 Nov 30
Nakala za Qur'ani 5,000 zasambazwa katika Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu Kuwait

Nakala za Qur'ani 5,000 zasambazwa katika Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu Kuwait

IQNA – Wageni wa Maonyesho ya 48 ya Vitabu Kimataifa mjini Kuwait wamepewa zawadi ya nakala zaidi ya 5,000 za Qur'ani Tukufu. Banda la Wizara ya Mambo ya Kiislamu ya Saudi Arabia limesambaza nakala hizo, kwa mujibu wa taarifa ya Al-Madinah.
14:57 , 2025 Nov 30
Msikiti wa Jamia wa Barsian wa Enzi ya Waseljuki

Msikiti wa Jamia wa Barsian wa Enzi ya Waseljuki

IQNA – Msikiti wa Jamia wa Barsian, ulioko Barsian takriban kilomita 40 mashariki mwa mji mkuu wa Isfahan, Iran, unarudi nyuma hadi karne ya 6 Hijria Qamaria, mwanzoni mwa kipindi cha utawala wa nasaba ya Waseljuki. Msikiti huu ni mfano mashuhuri wa usanifu wa Kiranzi wa Kiirani, unaojulikana kwa kuba ya matofali, minara mirefu, mapambo ya plasta yenye maumbo ya kijiometri, na uwiano sahihi wa kimuundo. Tofauti na misikiti yenye baraza nne iliyopata umaarufu katikati ya kipindi cha Waseljuki, jengo hili lina mpangilio wa kati wenye baraza na nafasi ndogo pembeni, na linachukuliwa kuwa mojawapo ya hatua za awali za maendeleo ya usanifu wa misikiti katika enzi ya Waseljuki.
14:23 , 2025 Nov 29
Wapalestina wa Gaza wapata Tuzo Kuu ya Kiislamu Duniani

Wapalestina wa Gaza wapata Tuzo Kuu ya Kiislamu Duniani

IQNA-Watu wa Gaza wametangazwa washindi wa Tuzo ya Shakhsia Bora wa Kiislamu Duniani kwa Mwaka, kutambua uthabiti wao katikati ya vita vya kikatili vya Israel dhidi ya eneo hilo.
14:15 , 2025 Nov 29
Washiriki 332 washindana katika Fainali za Tuzo ya Qur’ani na Sunna Sharjah

Washiriki 332 washindana katika Fainali za Tuzo ya Qur’ani na Sunna Sharjah

IQNA – Toleo la 28 la Tuzo ya Qur’ani Tukufu na Sunna ya Sharjah limeingia hatua ya mwisho mjini Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
13:54 , 2025 Nov 29
Papa Leo atembelea Msikiti wa Sultan Ahmed, Istanbul katika ziara yake ya kwanza msikitini

Papa Leo atembelea Msikiti wa Sultan Ahmed, Istanbul katika ziara yake ya kwanza msikitini

IQNA – Papa Leo XIV amefanya ziara yake ya kwanza katika nyumba ya ibada ya Kiislamu Jumamosi, akitembelea Msikiti wa kihistoria wa Sultan Ahmed mjini Istanbul, unaojulikana duniani kama Blue Mosque, katika ziara yake nchini Uturuki.
13:44 , 2025 Nov 29
Rais wa Iran: Aya za Qur’ani Tukufu ni mwito wa tafakuri ya kina

Rais wa Iran: Aya za Qur’ani Tukufu ni mwito wa tafakuri ya kina

IQNA – Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ameeleza kuwa aya za Qur’ani Tukufu ni mwaliko wa tafakuri ya kina na mwanga wa hekima unaoweza kuangaza maisha na mwenendo wa binadamu.
13:08 , 2025 Nov 29
Mwalimu mkongwe wa Qur’ani aonya dhidi ya mwelekeo wa muziki Katika Tilawa

Mwalimu mkongwe wa Qur’ani aonya dhidi ya mwelekeo wa muziki Katika Tilawa

IQNA – Mwalimu maarufu wa Qur’ani Tukufu kutoka Iran ameonya kuwa, kuongeza mwelekeo wa muziki katika tilawa ya Qur’ani Tukufu ni hatari kubwa inayoweza kupotosha urithi mtakatifu wa karne nyingi.
11:45 , 2025 Nov 29
Mkutano wa Qur’ani Tukufu Diyala, Iraq Wajadili Hadhi ya Bibi Zahra (SA)

Mkutano wa Qur’ani Tukufu Diyala, Iraq Wajadili Hadhi ya Bibi Zahra (SA)

IQNA-Mkutano wa kielimu wa Qur’anI Tukufu uliopewa jina “Bibi Fatima Zahra (SA) na Sheria za Uteuzi wa Kimaumbile” umefanyika katika jimbo la Diyala, Iraq ukiratibiwa na Jumuia ya Kisayansi ya Qur’an chini ya usimamizi wa Haram ya Abbas (AS).
19:22 , 2025 Nov 28
Idadi ya wanaoenda Umrah yaongezeka Jumada Al-Awwal

Idadi ya wanaoenda Umrah yaongezeka Jumada Al-Awwal

IQNA-Mamlaka ya Huduma za Msikiti Mtukufu wa Makka na Msikiti wa Mtume (SAW) jijini Madina imetangaza ongezeko kubwa la wageni katika mwezi wa Jumada Al-Awwal 1447 Hijria Qamaria, ambapo jumla ya watu milioni 66.6 walitembelea misikiti hiyo miwili mitukufu. Idadi hii imeongezeka kwa zaidi ya milioni 12 ikilinganishwa na kipindi kilichopita, kwa mujibu wa Shirika la Habari la Saudi.
19:19 , 2025 Nov 28
Mamlaka ya Ndani Palestina yasifu EU kwa kulaani vurugu za Israel Ukingo wa Magharibi

Mamlaka ya Ndani Palestina yasifu EU kwa kulaani vurugu za Israel Ukingo wa Magharibi

IQNA – Makamu wa Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Hussein al-Sheikh, amesifu tamko la pamoja la Ufaransa, Ujerumani, Italia na Uingereza lililolaani kuongezeka kwa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi.
19:13 , 2025 Nov 28
Spika wa Bunge la Pakistan: Mashindano ya Qur’ani Ni Alama ya Umoja wa Waislamu

Spika wa Bunge la Pakistan: Mashindano ya Qur’ani Ni Alama ya Umoja wa Waislamu

IQNA-Spika wa Bunge la Taifa la Pakistan, Sardar Ayaz Sadiq, amesema mashindano ya kimataifa ya usomaji Qur’ani Tukufu yanayoendelea mjini Islamabad ni alama ya umoja wa Waislamu duniani.
18:39 , 2025 Nov 28
Kiongozi Muadhamu: Marekani na Israel  zilianzisha vita, lakini taifa la Iran limeshinda

Kiongozi Muadhamu: Marekani na Israel zilianzisha vita, lakini taifa la Iran limeshinda

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema katika hotuba yake kupitia televisheni ya taifa kwamba Marekani haina hadhi ya kuwa na mahusiano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, na kwamba vita vya siku 12 vilivyoanzishwa na Marekani na Israel ni vita vilivyopangwa kwa muda wa miaka 20, lakini taifa la Iran limeshinda na adui ameshindwa.
16:16 , 2025 Nov 28
8