IQNA

Wenye kupinga Uislamu Denmark watozwa faini kwa kuvunjia heshima nakala ya Qur'ani

Wenye kupinga Uislamu Denmark watozwa faini kwa kuvunjia heshima nakala ya Qur'ani

IQNA– Wanaume wawili wamepatikana na atia ya kuvunjia heshima nakala ya Qur'ani Tukufu na kila mmoja kutozwa faini ya kroner za Denmark 10,000 (sawa na dola 1,500) huko Denmark.
20:26 , 2025 May 17
Mabunge ya Nchi za Kiislamu yataka vikwazo vya kimataifa dhidi ya Israel

Mabunge ya Nchi za Kiislamu yataka vikwazo vya kimataifa dhidi ya Israel

IQNA – Nchi wanachama wa Muungano wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (PUIC) zimetoa wito wa kuwekwa vikwazo vya kimataifa dhidi ya Israel, huku utawala huo ukiwa unaendelea na vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika ukanda wa Gaza.
20:16 , 2025 May 17
Kiongozi Muadhamu: Matamshi ya Trump ni fedheha kwa taifa la Marekani

Kiongozi Muadhamu: Matamshi ya Trump ni fedheha kwa taifa la Marekani

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amekosoa matamshi ya hivi karibuni ya Rais Donald Trump wa Marekani na kuyataja kuwa ni "fedheha" kwa taifa la Marekani.
19:20 , 2025 May 17
Mkuu wa ICRO asifu shughuli za Qur'ani za Taasisi ya Ibn Sina nchini Russia

 

Mkuu wa ICRO asifu shughuli za Qur'ani za Taasisi ya Ibn Sina nchini Russia  

IQNA – Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu amepongeza juhudi za utafiti wa Quran zinazofanywa na Taasisi ya Ibn Sina nchini Russia.
21:10 , 2025 May 16
Ni wajibu wa Kiislamu kusitisha ‘Mauaji Makubwa Zaidi ya Kimbari Katika Historia’ Gaza

Ni wajibu wa Kiislamu kusitisha ‘Mauaji Makubwa Zaidi ya Kimbari Katika Historia’ Gaza

IQNA-Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad Baqer Qalibaf, ametoa wito kwa Waislamu kuimarisha umoja na kuwa sauti ya watu wa Palestina walioko Ukanda wa Gaza, ambao wanakumbwa na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Israel.
21:01 , 2025 May 16
Jibu la Hamas kwa upayukaji wa Trump: Gaza haitauzwa

Jibu la Hamas kwa upayukaji wa Trump: Gaza haitauzwa

IQNA-Kiongozi mmoja wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amejibu matamshi ya kijuba ya rais wa Marekani, Donald Trump aliyetangaza nia ya Marekani ya kuuteka Ukanda wa Gaza na eti kuugeuza kuwa eneo huru, akimwambia, Ghaza si bidhaa ya kupigwa mnada.
20:52 , 2025 May 16
Idadi kubwa ya Wapalestina wauawa shahidi katika Ijumaa ya umwagaji damu Gaza

Idadi kubwa ya Wapalestina wauawa shahidi katika Ijumaa ya umwagaji damu Gaza

IQNA-Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya ya Ghaza ametangaza leo Ijumaa kwamba ukanda huo ndilo eneo la mauaji ya umati ya kutisha zaidi katika siku za hivi karibuni kiasi kwamba Wapalestina 250 wameuliwa shahidi na Israel katika kipindi cha saa 36 zilizopita pekee.
20:48 , 2025 May 16
Msanii wa Morocco mwenye ulemavu aandika Qur'ani kwenye ngozi ya mbuzi

Msanii wa Morocco mwenye ulemavu aandika Qur'ani kwenye ngozi ya mbuzi

IQNA-Omar al-Hadi, mchoraji wa maandishi kaligrafia wa Morocco mwenye umri wa miaka 60, ameushinda ulemavu wa mwili wa maisha yake kwa kuandika aya zote za Qur'ani Tukufu yote kwenye ngozi ya mbuzi.
20:42 , 2025 May 16
Mwanazuoni asisitiza mazungumzo ya nchi za Kiislamu ili kutatua changamoto za ubinadamu

Mwanazuoni asisitiza mazungumzo ya nchi za Kiislamu ili kutatua changamoto za ubinadamu

IQNA- Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO) amesema kuwa mazungumzo kati ya nchi za Kiislamu ni hitaji lisiloweza kuepukika katika kutatua changamoto za msingi za ubinadamu.
23:10 , 2025 May 15
Sehemu ya chini ya Kiswah ya Kaaba yainuliwa, Waumini waaendelea kuwasili kwa ajili ya Hija

Sehemu ya chini ya Kiswah ya Kaaba yainuliwa, Waumini waaendelea kuwasili kwa ajili ya Hija

IQNA – Katika maandalizi ya ibada ya Hija ijayo, maafisa wa Msikiti Mtakatifu wa Makka wameinua sehemu ya chini ya pazia la Kaaba, linalojulikana kama Kiswah, kwa urefu wa mita tatu.
16:55 , 2025 May 14
Mwanazuoni wa Iran aenziwa Najaf kwa mchango wake katika fikra za Kiislamu

Mwanazuoni wa Iran aenziwa Najaf kwa mchango wake katika fikra za Kiislamu

IQNA – Hafla maalum imefanyika katika Haram Takatifu ya Imamu Ali (AS) mjini Najaf, Iraq, kumuenzi Ayatullah Abdollah Javadi Amoli, mwanazuoni mwandamizi wa Kishia kutoka Iran, kwa mchango wake mkubwa na wa maisha yote katika kuandika tafsiri ya Qur’ani Tukufu na kufunza falsafa ya Kiislamu.
16:45 , 2025 May 14
Wizara ya Wakfu Misri yamuenzi qari maarufu wa Misri marehemu Sheikh Hamdi al-Zamil

Wizara ya Wakfu Misri yamuenzi qari maarufu wa Misri marehemu Sheikh Hamdi al-Zamil

IQNA – Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 43 tangu kufariki kwa Qari mashuhuri wa Misri, Sheikh Hamdi al-Zamil, Wizara ya Wakfu ya nchi hiyo imesambaza tena baadhi ya qira'a zake katika tovuti rasmi ya wizara hiyo.
16:31 , 2025 May 14
Kituo cha Qur'ani cha Imam Ali chafunguliwa katika mkoa wa Bekaa, Lebanon

Kituo cha Qur'ani cha Imam Ali chafunguliwa katika mkoa wa Bekaa, Lebanon

IQNA – Kituo cha Qur'ani cha Imamu Ali (AS) sasa kimefunguliwa rasmi katika eneo la kaskazini-mashariki mwa Bekaa nchini Lebanon, kikiwa taasisi ya kwanza ya aina yake katika eneo hili inayojitolea kwa elimu na uenezi wa Qur'ani Tukufu.
16:19 , 2025 May 14
Msomi: Hija inaleta manufaa ya kiroho, kisiasa na kijamii kwa Waislamu wote

Msomi: Hija inaleta manufaa ya kiroho, kisiasa na kijamii kwa Waislamu wote

IQNA – Mbunge wa zamani wa Iran ameielezea Hija kama ibada ya kiroho yenye malipo makubwa, lakini pia yenye manufaa mapana ya kisiasa na kijamii kwa Waislamu kote duniani.
16:08 , 2025 May 14
Msafara wa Qur'ani wa Nur kutoka Iran kushiriki vikao 220 vya Qur'ani wakati wa Hija

Msafara wa Qur'ani wa Nur kutoka Iran kushiriki vikao 220 vya Qur'ani wakati wa Hija

IQNA – Msafara wa Qur'ani wa Nur (Noor) kutoka Iran, ambao ni ujumbe wa wasomaji Qur'ani, unajiandaa kuendesha zaidi ya matukio 220 ya Qur'ani wakati wa ibada ya Hija ya mwaka huu wa 1446 Hijria (2025) katika miji mitakatifu ya Makka na Madina.
17:18 , 2025 May 13
12