IQNA

Ayatullah Sistani alaani mashambulizi ya kikatili ya Israel dhidi ya Iran

Ayatullah Sistani alaani mashambulizi ya kikatili ya Israel dhidi ya Iran

IQNA-Kiongozi Mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq amelaani vikali uchokozi wa hivi karibuni wa utawala wa Israel dhidi ya Iran, na ameihimiza jamii ya kimataifa kuzuia mashine ya vita ya utawala huo wa Kizayuni.
19:34 , 2025 Jun 13
Iran yasitisha safari za ndege za kurejea kwa Mahujaji baada ya mashambulizi ya Israel

Iran yasitisha safari za ndege za kurejea kwa Mahujaji baada ya mashambulizi ya Israel

IQNA-Shirika la Hajj na Hija la Iran limetangaza Ijumaa kwamba safari zote za kurudi kwa Mahujaji wa Kiirani zimesitishwa hadi taarifa nyingine itakapotolewa, kufuatia kusimamishwa kwa safari za anga kote nchini baada ya mfululizo wa mashambulizi ya anga ya Israel.
19:15 , 2025 Jun 13
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Utawala wa Kizayuni umejiandalia hatima chungu na yenye maumivu

Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Utawala wa Kizayuni umejiandalia hatima chungu na yenye maumivu

IQNA-Katika taarifa ya kulaani shambulio lililofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya ardhi tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mapema leo alfajiri, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ametoa ujumbe mzito kwa taifa la Iran, akisisitiza kuwa adhabu kali inamsubiri mhalifu huyo wa kimataifa.
09:33 , 2025 Jun 13
Makamanda Waandamizi wa Iran, akiwemo Jenerali Salami, wauawa shahidi katika hujuma ya Israel

Makamanda Waandamizi wa Iran, akiwemo Jenerali Salami, wauawa shahidi katika hujuma ya Israel

IQNA-Meja Jenerali Hossein Salami, kamanda mkuu wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), pamoja na Meja Jenerali Mohammad Bagheri, Mkuu wa Kamandi ya Majeshi ya Iran wameuawa shahidi katika hujuma ya anga lililotekelezwa na utawala katili wa Israel mapema Ijumaa alfajiri mjini Tehran.
06:57 , 2025 Jun 13
Ayatullah Khamenei: Idul Ghadir ni sikukuu ya kipekee kwa Waislamu

Ayatullah Khamenei: Idul Ghadir ni sikukuu ya kipekee kwa Waislamu

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ametaja Idul-Ghadir, ambayo mwaka huu inaangukia tarehe 14 Juni, kuwa ni siku ya kipekee kwa Umma wa Kiislamu.
13:43 , 2025 Jun 12
Iran yazindua mpango mkubwa wa kitaifa kuadhimisha Idul Ghadir

Iran yazindua mpango mkubwa wa kitaifa kuadhimisha Idul Ghadir

IQNA – Kwa mujibu wa taarifa rasmi, Iran imepanga shughuli na maadhimisho ya kitaifa yenye sura ya kitamaduni, kidini na kijamii kwa ajili ya kusherehekea Sikuukuu ya Ghadir (Idul Ghadir), likiwa ni tukio mashuhuri linaloenziwa na Waislamu wa madhehebu ya Shia duniani kote.
15:39 , 2025 Jun 11
Uzinduzi wa Wiki ya Kimataifa ya Maadhimisho ya Idi ya Ghadir

Uzinduzi wa Wiki ya Kimataifa ya Maadhimisho ya Idi ya Ghadir

IQNA – Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Ali (AS), imtangaza kuanza kwa maadhimisho ya Wiki ya Kimataifa ya Idul Ghadir, yakihusisha ushiriki kutoka zaidi ya mataifa 40 katika mabara matano.
15:29 , 2025 Jun 11
Pep Guardiola asema yanaojiri  Gaza yanamuumiza moyoni, asema si suala la itikadi

Pep Guardiola asema yanaojiri Gaza yanamuumiza moyoni, asema si suala la itikadi

IQNA – Kocha wa klabu ya Manchester City, Pep Guardiola, ameelezea kwa uchungu hali ya mateso ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza, akisema ni jambo linalomuumiza sana kila anapofikiria yanayoendelea katika eneo hilo.
15:19 , 2025 Jun 11
Tume huru ya UN: Israel inatekeleza mauaji ya kimbari Gaza

Tume huru ya UN: Israel inatekeleza mauaji ya kimbari Gaza

IQNA-Tume huru ya Umoja wa Mataifa imeutuhumu utawala wa Israel kwa kufanya mauaji ya halaiki kwa kuwashambulia raia wa Kipalestina wanaohifadhiwa katika shule na maeneo ya kidini huko Gaza.
14:36 , 2025 Jun 11
CAIR yamuweka mbunge Randy Fine katika orodha ya ‘Wenye Chuki Dhidi ya Uislamu’

CAIR yamuweka mbunge Randy Fine katika orodha ya ‘Wenye Chuki Dhidi ya Uislamu’

IQNA – Baraza la Mahusiano ya Kiislamu na Marekani (CAIR) limemtaja mbunge katika Bunge la Marekani Randy Fine (R-FL) kuwa “mwenye msimamo mkali wa chuki dhidi ya Waislamu”, likimjumuisha katika orodha yake ya watu wenye chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), kutokana na kile ilichokiita rekodi ya muda mrefu ya matamshi ya uchochezi dhidi ya Waislamu na Wapalestina.
14:29 , 2025 Jun 11
Saudia imeanza tena utoaji wa Visa za Umrah

Saudia imeanza tena utoaji wa Visa za Umrah

IQNA – Maombi ya visa za Umrah yameanza tena rasmi siku ya leo Jumanne, tarehe 10 Juni, hivyo kuwapa fursa waumini kutoka mataifa mbalimbali kuanza maandalizi ya safari tukufu kuelekea miji mitakatifu ya Makkah na Madinah kwa ajili ya Hija ndogo ya Umrah.
17:56 , 2025 Jun 10
Uingereza yatakiwa kuanzisha mkakati wa kitaifa kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu

Uingereza yatakiwa kuanzisha mkakati wa kitaifa kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu

IQNA – Ripoti mpya iliyotolewa Jumatatu imetoa wito kwa serikali ya Uingereza kuweka mkakati wa kitaifa wa pamoja kupambana na kuongezeka kwa cChuki Dhidi ya Uislamu (Islamophobia), ikionya kuwa mgawanyiko unaozidi katika jamii unadhoofisha imani ya wananchi kwa taasisi za umma na kutishia mshikamano wa kitaifa.
17:45 , 2025 Jun 10
Sababu za Israel kutumia uharamia kuzuia meli ya misaada ya Mdleen kufika Gaza

Sababu za Israel kutumia uharamia kuzuia meli ya misaada ya Mdleen kufika Gaza

IQNA-Katika hali ambayo, meli ya "Madleen" iliyokuwa imebeba misaada ya kibinadamu ilikuwa imekaribia Gaza, majeshi ya utawala haramu Israel yalishambulia meli hiyo katika hatua iliyotajwa kimataifa kuwa ni uharamia, na kuwateka nyara abiria wake na hivyo kuzuia misaada hiyo kufika Gaza.
17:37 , 2025 Jun 10
Qari wa Misri aibuka mshindi katika Mashindano ya Qur'ani ya Msikiti Mkuu wa Makka

Qari wa Misri aibuka mshindi katika Mashindano ya Qur'ani ya Msikiti Mkuu wa Makka

IQNA – Hamada Muhammad al-Sayyid, hafidh wa Qur'ani kutoka Misri, ameshinda nafasi ya kwanza katika mashindano ya kwanza ya kuhifadhi Qur'ani kwa Mahujaji, yaliyofanyika katika Msikiti Mkuu wa Makka
16:22 , 2025 Jun 10
Nakala za Qur'ani zasambazwa kwa Mahujaji wanaoondoka Saudia

Nakala za Qur'ani zasambazwa kwa Mahujaji wanaoondoka Saudia

IQNA — Zaidi ya nakala milioni mbili za Qur'ani Tukufu zinasambazwa miongoni mwa Mahujaji wanaorejea nyumbani baada ya ibada ya Hija nchini Saudi Arabia.
15:42 , 2025 Jun 10
3