IQNA

Wageni wa Makkah Waalikwa Kutembelea Maonyesho ya Msikiti Mkuu (Masjid al-Haram)

Wageni wa Makkah Waalikwa Kutembelea Maonyesho ya Msikiti Mkuu (Masjid al-Haram)

IQNA – Wageni wanaozuru mji mtukufu wa Makkah wamealikwa kutembelea maonyesho yanayoangazia huduma na uangalizi unaotolewa katika Msikiti Mtukufu wa Makkah (Masjid al-Haram).
15:45 , 2026 Aug 18
Qur’ani Tukufu Yatuamuru Tuwe na Subira

Qur’ani Tukufu Yatuamuru Tuwe na Subira

IQNA – Qur’ani Tukufu, kitabu cha uongofu na mwamko wa mwanadamu, inatoa jumbe zilizo wazi na zenye kutoa nuru katika aya zake kwa nyakati zote na kwa watu wote.
15:34 , 2026 Aug 18
Idadi kubwa zaidi ya wageni kwa siku moja imerekodiwa katika Kituo cha Uchapishaji wa Qur’an cha Madina

Idadi kubwa zaidi ya wageni kwa siku moja imerekodiwa katika Kituo cha Uchapishaji wa Qur’an cha Madina

IQNA – Zaidi ya watu 10,000 wametembelea Kituo cha Uchapishaji wa Qur’an Tukufu cha Mfalme Fahd kilichopo Madina wiki iliyopita.
18:24 , 2026 Aug 17
Mashindano ya Qur’an ya Mtume Mtukufu (SAW) kwa wanafunzi wa kike yafunguliwa Sana’a

Mashindano ya Qur’an ya Mtume Mtukufu (SAW) kwa wanafunzi wa kike yafunguliwa Sana’a

IQNA – Mashindano ya Qur'ani ya kila mwaka ya “Al-Rasoul Al-Aazam” (Mtume Mtukufu SAW) yamefunguliwa katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a, siku ya Jumapili kwa mnasaba wa Milad un Nabii.
18:23 , 2026 Aug 17
Hotuba za Kihistoria za Maimamu wakuu wa Al-Azhar zitapeperushwa kupitia Idhaa ya Qur’an ya Misri

Hotuba za Kihistoria za Maimamu wakuu wa Al-Azhar zitapeperushwa kupitia Idhaa ya Qur’an ya Misri

IQNA – Shirika la Kitaifa la Vyombo vya Habari la Misri limetangaza kuzinduliwa kwa kipindi kipya chenye kichwa cha habari “Imam Mkuu”, kilichotengwa mahususi kwa ajili ya hotuba na mawaidha ya Maimamu wa Al-Azhar katika miongo kadhaa iliyopita.
18:18 , 2026 Aug 17
Wizara ya Awqaf ya Palestina yaandaa Mashindano ya 25 ya Qur’an ya Al-Aqsa

Wizara ya Awqaf ya Palestina yaandaa Mashindano ya 25 ya Qur’an ya Al-Aqsa

IQNA – Wizara ya Awqaf na Masuala ya Kidini ya Palestina imetangaza kuwa Mashindano ya 25 ya Kuhifadhi na Tafsiri ya Qur’an ya Al-Aqsa yatafanyika kwa ushiriki wa wanaharakati wa Qur’an kutoka maeneo mbalimbali ya Ukanda wa Gaza.
18:11 , 2026 Aug 17
Baraza la Kimataifa la Qur’an laanzishwa mjini Istanbul, Uturuki

Baraza la Kimataifa la Qur’an laanzishwa mjini Istanbul, Uturuki

IQNA – Maafisa wa Maonyesho ya 11 ya Kimataifa ya Vitabu ya Istanbul wametangaza kuanzishwa kwa “Baraza la Kimataifa la Qur’an” (World Quran Assembly) pembezoni mwa siku ya kwanza ya hafla hiyo.
18:03 , 2026 Aug 17
Qari kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran akisoma aya za Qur’an Tukufu  za Surah Al-Mulk

Qari kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran akisoma aya za Qur’an Tukufu za Surah Al-Mulk

IQNA – Msomaji mashuhuri wa Qur’an Tukufu kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ndugu Masoud Panjeh, ambaye ni Qari katika Haram Tukufu ya Imam Ali ibn Musa al-Ridha (AS) mjini Mashhad, hivi karibuni amesoma aya za 1–8 za Surah Al-Mulk.
17:36 , 2026 Aug 17
Mwanazuoni wa Iran atoa wito wa Akili Mnemba (AI) kuwa chachu ya mageuzi katika taaluma za Qur’ani

Mwanazuoni wa Iran atoa wito wa Akili Mnemba (AI) kuwa chachu ya mageuzi katika taaluma za Qur’ani

IQNA – Mwanazuoni wa Kiislamu kutoka Iran ametoa wito wa kuitumia Akili Mnemba (Artificial Intelligence - AI) siyo kama nyenzo ya kusaidia pekee, bali kama chachu kuu ya kuleta mageuzi katika tafiti na harakati za Qur’ani.
17:01 , 2026 Aug 16
Washiriki wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Makka wapata zawadi za fedha

Washiriki wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Makka wapata zawadi za fedha

IQNA – Washindi na washiriki katika mashindano ya 46 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mfalme Abdulaziz, yaliyofikia tamati Makka mapema wiki hii, wametunukiwa zawadi za fedha mwishoni mwa hafla hiyo ya Qur’ani.
16:55 , 2026 Aug 16
Norway: Mazungumzo ya Kidini Kujadili Utambulisho, Ubaguzi na Chuki dhidi ya Waislamu

Norway: Mazungumzo ya Kidini Kujadili Utambulisho, Ubaguzi na Chuki dhidi ya Waislamu

IQNA – Mtandao wa Mazungumzo ya Kiislamu nchini Norway ulishiriki katika “Arendalsuka,” ambayo ni jukwaa la kila mwaka la mijadala ya umma nchini Norway. Katika jukwaa hilo, mtandao huo ulijadili masuala muhimu ikiwemo utambulisho wa kidini, uhuru wa kujieleza, ubaguzi, na tofauti iliyopo kati ya ukosoaji halali wa dini na chuki zinazolenga jamii nzima.
16:49 , 2026 Aug 16
Kambi ya Qur’ani yaandaliwa katika kisiwa cha Mahibadhoo, Maldives

Kambi ya Qur’ani yaandaliwa katika kisiwa cha Mahibadhoo, Maldives

IQNA – Kambi inayojumuisha mashindano matatu ya usomaji wa Qur’ani (Tilawa), warsha za ufundishaji, na hafla maalum ya watoto imepangwa kufanyika huko Mahibadhoo, mji wa kisiwani ulioko katikati mwa nchi ya Maldives.
16:33 , 2026 Aug 16
Waislamu nchini Uingereza wahimizwa kusali Swala ya Istisqa (Swala ya kuomba mvua)

Waislamu nchini Uingereza wahimizwa kusali Swala ya Istisqa (Swala ya kuomba mvua)

IQNA – Katikati ya ukame usio wa kawaida na uhaba mkali wa maji unaotishia sekta ya kilimo na mazingira, wanazuoni wa Kiislamu nchini Uingereza wametoa wito kwa maimamu wa misikiti na waumini kufufua sunna tukufu ya “Istisqa” (Swala ya kuomba mvua).
16:28 , 2026 Aug 16
Maandamano Marib, Yemen kulaani matusi ya Kizayuni-Mmarekani dhidi ya Qur’ani Tukufu

Maandamano Marib, Yemen kulaani matusi ya Kizayuni-Mmarekani dhidi ya Qur’ani Tukufu

IQNA – Wananchi katika mkoa wa Marib nchini Yemen wamefanya maandamano na matukio ya kulaani vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur’ani katika nchi za Magharibi.
21:05 , 2026 Aug 15
Ni saa zipi zenye utulivu zaidi katika Msikiti Mtukufu wa Makka?

Ni saa zipi zenye utulivu zaidi katika Msikiti Mtukufu wa Makka?

IQNA – Mahujaji wa Umra wanashauriwa kupanga ziara zao katika Msikiti Mtukufu wa Makka (Masjid al Haram) wakati wa vipindi vyenye msongamano mdogo.
20:46 , 2026 Aug 15
1 2 3 4