IQNA

Australia yashuhudia maandamano makubwa zaidi ya kulaani Israel na kuunga mkono Palestina

Australia yashuhudia maandamano makubwa zaidi ya kulaani Israel na kuunga mkono Palestina

IQNA – Watu katika miji na miji midogo kote Australia walijitokeza kwa wingi Jumapili kuonyesha uungaji mkono wao wa dhati kwa Palestina na kulaani ukatili wa Israel huko Gaza.
11:31 , 2025 Aug 24
Msikiti wa karne moja unawakilisha utambulisho uliojaa utata wa Waislamu wa Marekani

Msikiti wa karne moja unawakilisha utambulisho uliojaa utata wa Waislamu wa Marekani

IQNA – Huko Cedar Rapids, Iowa, msikiti wa mkongwe zaidi nchini Marekani, ambao ni jengo dogo jeupe la mbao, ni ushahidi wa kimya wa historia ndefu ya Waislamu wa Marekani.
11:12 , 2025 Aug 24
Maandamano London kulaani  mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel huko Gaza

Maandamano London kulaani mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel huko Gaza

IQNA- Maandamano yafanyika Uingereza kulaani  mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel dhidi ya Gaza Maandamano makubwa yamefanyika nje ya ubalozi wa utawala wa Israel mjini London, Uingereza kulaani mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala huo dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
09:47 , 2025 Aug 24
Kikundi cha kwanza cha Wairani wanaoelekea Umrah chafika Madina

Kikundi cha kwanza cha Wairani wanaoelekea Umrah chafika Madina

IQNA – Kikundi cha kwanza cha Wairano wanaotekeleza Umrah baada ya Hajj ya mwaka huu kimewasili Madina, Saudi Arabia baada ya kuondoka mapema Jumamosi asubuhi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Imam Khomeini jijini Tehran.
09:56 , 2025 Aug 23
Mkurugenzi klabu ya soka Uhispania amkaribisha mchezaji kwa Ayah ya Qur'ani Tukufu

Mkurugenzi klabu ya soka Uhispania amkaribisha mchezaji kwa Ayah ya Qur'ani Tukufu

IQNA – Mkurugenzi wa michezo wa klabu ya soka ya Uhispania ya Real Valladolid amesoma aya kutoka kwenye Qur’ani Tukufu kumkaribisha mlinzi mpya wa klabu hiyo, mchezaji wa kimataifa kutoka Morocco, Mohamed Jaouab.
09:42 , 2025 Aug 23
Maandamano ya mamilioni Yemen kwa ajili ya mshikamano na Wapalestina Gaza

Maandamano ya mamilioni Yemen kwa ajili ya mshikamano na Wapalestina Gaza

IQNA – Watu wa Yemen katika mkoa wa Saada wameshiriki katika maandamano ya mamilioni ya watu Ijumaa, wakionesha mshikamano wao na watu wanaodhulumiwa Palestina hasa katika Ukanda wa Gaza.
08:18 , 2025 Aug 23
Idadi Kubwa ya Wafanyaziyara wafika Karbala katika Siku za Mwisho za Safar

Idadi Kubwa ya Wafanyaziyara wafika Karbala katika Siku za Mwisho za Safar

IQNA – Mji mtukufu wa Karbala, Iraq, umefurika wafanyaziyara kwa wingi mno katika siku za mwisho ya mwezi wa Safar, kwenye makaburi matukufu ya Imam Hussein (AS) pamoja na ndugu yake, Hadhrat Abbas (AS).
08:11 , 2025 Aug 23
Mwanazuoni aeleza Jinsi Mtume Muhammad (SAW) Alivyounda Umma mmoja kutoka jamii ya kikabila

Mwanazuoni aeleza Jinsi Mtume Muhammad (SAW) Alivyounda Umma mmoja kutoka jamii ya kikabila

IQNA – Mwanazuoni kutoka Iran amesisitiza mafanikio ya kihistoria yaliyopatikana na Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) kwa kuunda Umma mmoja ulioshikamana, kutoka jamii za kikabila zilizokuwa zikitumbukia katika migawanyiko na mifarakano.
16:17 , 2025 Aug 22
Msafara wa Qur’ani waripoti ukuaji wa asilimia 5 katika shughuli za Arbaeen

Msafara wa Qur’ani waripoti ukuaji wa asilimia 5 katika shughuli za Arbaeen

IQNA – Waandalizi wa msafara wa Qur’ani kutoka Iran wametangaza ongezeko la asilimia 5 katika shughuli za Qur’ani wakati wa ziyara na matembezi Arbaeen mwaka huu nchini Iraq ikilinganishwa na mwaka uliopita.
15:58 , 2025 Aug 22
Al-Azhar yalaani uhalifu wa chuki dhidi ya Msikiti huko Oxford, Uingereza

Al-Azhar yalaani uhalifu wa chuki dhidi ya Msikiti huko Oxford, Uingereza

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Kufuatilia na Kupambana na Misimamo Mikali kimelaani kitendo cha chuki kilichotokea hivi karibuni katika msikiti wa Oxford, nchini Uingereza na kuonya kwamba matendo ya aina hiyo huchochea uhasama na ni “tishio la moja kwa moja kwa mshikamano wa kijamii.”
15:51 , 2025 Aug 22
Aya za Qur’ani, kaligrafia ya Kiarabu na ramani za nchi katika kazi za Msanii wa Mosul

Aya za Qur’ani, kaligrafia ya Kiarabu na ramani za nchi katika kazi za Msanii wa Mosul

IQNA-Jannat Adnan Ahmed, msanii mashuhuri wa khatt kaligrafia kutoka Mosul, Iraq, na anayeishi New Zealand, anajulikana kwa kazi zake za kipekee zinazochanganya aya za Qur’ani na ramani za nchi za Kiarabu.
15:42 , 2025 Aug 22
Maonyesho ya 'Qur'ani na Ashura' yafanyike eneo la Kashmir

Maonyesho ya 'Qur'ani na Ashura' yafanyike eneo la Kashmir

IQNA-Maonyesho ya sanaa za Qur’ani na kidini yenye kichwa “Sanaa ya Mapenzi, Imani na Ashura” yalifanyika katika Chuo Kikuu cha Kashmir yakiratibiwa na Taasisi ya Utafiti wa Qur’ani ya Tebyan. Zaidi ya kazi mia moja za uchoraji, kaligrafia, picha na sanaa za kidigitali ziliwasilisha mada za Qur’an, Karbala na kujitolea.
15:37 , 2025 Aug 22
Wafanyaziyara wakitembea kuelekea Mashhad kabla ya kumbukumbu ya Imam Ridha (AS)

Wafanyaziyara wakitembea kuelekea Mashhad kabla ya kumbukumbu ya Imam Ridha (AS)

IQNA – Kila mwaka, inapokaribia kumbukumbu ya kuuawa shahidi kwa Imam Ridha (AS), wafanyaziyara na waombolezaji kutoka mikoa na wilaya jirani huanza safari kwa miguu kuelekea mjini Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran.
17:03 , 2025 Aug 21
Washindi wa Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu, Makkah

Washindi wa Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu, Makkah

IQNA – Saudi Arabia imetangaza washindi katika makundi matano ya Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Mfalme Abdulaziz yaliyofanyika mjini Makkah.
16:57 , 2025 Aug 21
Qari Muirani akisoma Qur'ani katika mji wa Hillah, Iraq + Video

Qari Muirani akisoma Qur'ani katika mji wa Hillah, Iraq + Video

Sayyid Muhammad Husaynipour, aliyeshinda nafasi ya kwanza katika mashindano ya 41 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, alishiriki katika msafara wa Qur’āni wa Arbaeen mjini Hillah, Iraq. Hii hapa klipu yake akisoma Qur'ani Tukufu
16:43 , 2025 Aug 21
1