iqna

IQNA

USHINDI
TEHRAN (IQNA)- Wapalestina jana usiku walimiminika mitaani kusherehekea usitishwaji vita katika Ukanda wa Ghaza baada ya utawala haramu wa Israel kushindwa kukabiliana na wimbi kubwa la makombora ya harakati za muqawama au mapambano ya Kiislamu.
Habari ID: 3473932    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/21

Mamillioni ya wananchi wa Iran leo wamejitokeza na kushiriki kwa wingi katika maandamano ya kuadhimisha mwaka wa 36 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 2840030    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/11

Maelfu ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza wameendelea kusherehekea kufikiwa makubaliano ya muda mrefu kuhusu usitishaji mapigano kati ya makundi ya muqawama na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 1443936    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/27