iqna

IQNA

jebeli
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameitunuku familia ya shujaa shahidi Landi zawadi ya Qur’ani Tukufu kutokana na kitendo cha kishujaa cha kijana huyo cha kuokoa maisha ya wanawake wawili hivi karibuni.
Habari ID: 3474374    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/03