TEHRAN (IQNA)- Katiba ya Nigeria inaruhusu wanawake wa Kiislamu kuvaa Hijabu kulingana na mafundisho ya imani yao, waziri wa elimu wa nchi hiyo ya Kiafrika alisema.
Habari ID: 3474903 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/07
TEHRAN (IQNA)-Waislamu katika mji wa Abuja, Nigeria wamepokea chanjo ya COVID-19 nje ya msikiti baada ya Sala ya Ijumaa.
Habari ID: 3474406 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/10