Watetezi wa Qur'ani Tukufu
QATAR (IQNA) -Supamaketi kubwa nchini Qatar imeondoa bidhaa zote za Uswidi kwenye rafu zake - na kutoa msimamo wa kulaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi hiyo ya Skandinavia, kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari vya ndani.
Habari ID: 3477340 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/25
Sekta ya Halal
TEHRAN (IQNA)- Warsha na maonyesho ya kimataifa kuhusu tasnia ya Halal itafanyika nchini Nigeria mwezi ujao.
Habari ID: 3475548 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/27
Bidhaa Halal
Tehran (IQNA)-Mauzo na matumizi ya bidhaa ‘Halal’, hasa vyakula na bidhaa za urembo, yanaongezeka nchini Msumbiji, kama ilivyo katika sehemu nyingine za dunia.
Habari ID: 3475388 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/17
IQNA-Kenya itakuwa mwenyeji wa maonyesho ya kwanza ya kimatiafa ya bidhaa na huduma halali eneo la bara la Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara.
Habari ID: 3470653 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/05
Kiongozi wa chama cha upinzani katika utawala wa Kizayuni wa Israel amesema utawala huo unakabiliwa na Intifadha ya kidiplomasia kutokana na kuongezeka harakati za vuguvugu la kususia bidhaa za Israel kote duniani.
Habari ID: 3311792 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/07