iqna

IQNA

jamii
Qur'ani Tukufu Inasemaje/17
TEHRAN (IQNA) – Qur’ani Tukufu inadhihirisha kwamba matendo ya watu binafsi yana athari kubwa na ya moja kwa moja kwa jamii kwani haitoshi kutegemea sheria kali za ki jamii kwa ajili ya kurekebisha jamii ; badala yake, kuwe na juhudi za kukuza uelewa miongoni mwa wana jamii .
Habari ID: 3475495    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/12

Tumo katika kumbukumbu ya kufariki dunia Mtume wa mwisho wa Mwenyezi Mungu Muhammad al-Mustafa SAW. Hii leo imepita zaidi ya miaka 1400 tangu mbora huyo wa viumbe aage dunia; lakini jina la mtukufu huyo pamoja na utajo na shakhsia yake kubwa na adhimu na isiyo na mithili ingali inaleta hamasa katika nyoyo.
Habari ID: 2623557    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/20