iqna

IQNA

mubahala
Mawaida
Tarehe 24 Dhul-Hijjah husadifiana ni siku muhimu ya katika historia ya Uislamu, ambayo ni maarufu kama Siku ya Mubahalah .
Habari ID: 3477269    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/12

Qur'ani Tukufu Inasemaje /22
TEHRAN (IQNA) – Baada ya tukio la Mubahala lililotokea kufuatia msisitizo wa Wakristo wa Najran juu ya wao kuwa kwenye haki, aya za Qur’an ziliteremshwa zinazotaka mazungumzo na kuzingatia mambo nukta za pamoja. Hii inaonyesha kwamba mtazamo wa Qur'an ambao unatilia mkazo mwingiliano na mazungumzo.
Habari ID: 3475540    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/25

Leo Jumapili tarehe 24 Dhul-Hijjah 1443 Hijiria inayosadifiana na tarehe 24 Julai 2022, ni siku muhimu ya Mubahalah katika historia ya Uislamu.
Habari ID: 3475536    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/24