TEHRAN (IQNA)-Taasisi ya Darul Iftaa ya Misri imesema kuchapisha aya za Qur'ani Tukufu kwenye noti na sarafu ni Makruh.
Habari ID: 3474503 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/02
IQNA-Jumba la Makumbusho la Qatar ambalo lina mkusanyiko mkubwa zaidi za sarafu za Kiislamu duniani limeandaa maonyesho yenye sarafu muhimu zaidi ya Kiislamu duniani.
Habari ID: 3470894 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/14