iqna

IQNA

maandamano
Watetezi wa Palestina
IQNA-Maandamano makubwa yamefanyika mbele ya ubalozi wa Israel mjini Washington DC, Marekani kulaani vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478443    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/03

Watetezi wa Palestina
IQNA - Siku ya pili ya Kimataifa ya Hatua kwa Ajili ya Gaza itaadhimishwa baadaye mwezi huu kwa maandamano ya mshikamano na watu wa Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478312    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/06

Watetezi wa Palestina
IQNA - Wakati wa maandamano ya wafuasi wa Palestina huko Rabat, mji mkuu wa Morocco, siku ya Jumapili, maelfu ya raia wa Morocco walitoa wito wa kukatwa uhusiano na utawala wa Kizayuni unaoendelea kutekeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478090    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/25

Watetezi wa Palestina
IQNA - Mikutano ya hadhara imefanyika katika miji katika nchi mbalimbali za Magharibi mwishoni mwa juma kupinga mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza na kutaka kuwasilishwa kwa misaada ya kibinadamu katika eneo lililozingirwa.
Habari ID: 3478086    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/24

Waungaji mkono Palestina
TEHRAN (IQNA)- Katika muendelezo wa himaya na uungaji mkono wa ulimwengu kwa mapambano ya wananchi wa Gaza na kulaani jinai za utawala ghasibu wa Israel, maelfu ya wananchi wa Pakistan wameandamana na kuelekea katika ubalozi mdogo wa Marekani.
Habari ID: 3477967    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/30

Waungaji mkono Palestina
WASHINGTON, DC (IQNA) - Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Stanford nchini Marekani wamefanya mgomo wa kujilaza chini ndani ya chuo kwa karibu mwezi mmoja kulaani ukatili wa Israel huko Gaza na kuwataka maafisa wa chuo kikuu kususia miradi na taasisi za kitaaluma za Israel.
Habari ID: 3477909    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/18

Kimbunga cha Al Aqsa
TEHRAN (IQNA) Maelfu ya waandamanaji wameendelea kujitokeza mitaani kulaani hujuma ya Israel dhidi ya Ghaza na kuonyesha kuwaunga mkono Wapalestina.
Habari ID: 3477799    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/28

TEHRAN (IQNA) – Mamilioni ya watu kote duniani walijitokeza mitaani Oktoba 20 kushutumu kuendelea kwa mashambulizi ya kikatili ya Israel dhidi ya Gaza ambayo yamesababisha zaidi ya Wapalestina 4,100 kuuawa ndani ya wiki mbili.
Habari ID: 3477771    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/22

TEHRAN (IQNA) - Mauaji ya kikatili ya utawala wa Israel dhidi ya raia wasiopungua 500, wengi wao wakiwa wanawake na watoto, katika hospitali moja huko Ghaza siku ya Jumanne yaliibua shutuma na hasira kutoka sehemu mbalimbali za dunia.
Habari ID: 3477762    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/19

TEHRAN (IQNA) - Nchi kadhaa duniani zilikaribisha maelfu ya watu siku ya Ijumaa ambao walionyesha uungaji mkono wao kwa Wapalestina kutokana na mashambulizi ya kikatili ya Israel kwenye Ukanda wa Gaza ulikaliwa kwa Mabavu.
Habari ID: 3477729    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/14

Njama dhidi ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa jiji la Tehran na miji yote ya Iran, leo baada ya Sala za Ijumaa, wamefanya maandamano makubwa ya nchi nzima kulaani shambulio la kigaidi lililotokea juzi Jumatano katika Haram Tukufu ya Shah Cheragh ya mjini Shiraz, kusini magharibi mwa Iran. Genge la kigaidi la ISIS limetangaza kuhusika na jinai hiyo.
Habari ID: 3475997    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/28

Hali nchini Tunisia
TEHRAN (IQNA) - Waandamanaji wa Tunisia waliingia mitaani katika mji mkuu Tunis siku ya Jumamosi kupinga kura ya maoni kuhusu katiba mpya iliyoitishwa na Rais Kais Saied.
Habari ID: 3475394    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/19

TEHRAN (IQNA)- Mtu moja ameuawa jana Sudan wakati maelfu ya wananchi walipoandamana katika mji mkuu Khartoum na miji mingine mikubwa nchini humo kupinga utawala wa kijeshi nchini humo.
Habari ID: 3474875    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/31

TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Morocco wameandamana katika miji mbalimbali ya nchi hiyo na kutangaza tena kupinga nchi yao kuwa na uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel unaotenda jinai kila leo dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.
Habari ID: 3474716    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/24

TEHRAN(IQNA)- Mfungwa wa kisiasa nchini Bahrain amefariki baada ya wakuu wa gereza alimokuwa kukataa kumpa huduma za dharura za kiafya huki hali ikiripotiwa kuwa mbaya katika gereza za nchi hiyo kutokana na janga la COVID-19.
Habari ID: 3473794    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/08

TEHRAN (IQNA) - Wimbi kali la maandamano ya kulaani matamshi yaliyotolewa na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa akitetea matusi na kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad SAW Nchini humo limeendelea kushuhudiwa katika pembe mbalimbali za dunia.
Habari ID: 3473325    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/03

TEHRAN (IQNA)- Wananchi wenye hasira nchini Bahrain wameandamana kupinga safari ya ujumbe wa Marekani-Kizayuni katika nchi yao kwa lengo la kutangaza rasmi mapatano ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya Bahrain na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473276    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/19

TEHRAN (IQNA) – Wananchi wa Bahrain wameandamana tena Ijumaa katika mji mkuu Manama na miji mingine kupunga hatua ya utawala wa kifalme nchini humo kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473228    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/03

TEHRAN (IQNA)- Chama kikuu cha upinzani cha Bahrain kinachojulikana kama Jumuiya ya Kiislamu ya Al Wifaq kimetangaza kuwa kumefanyika maandamano 150 ya kupinga hatua ya watawala wa nchi hiyo kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473198    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/23

TEHRAN (IQNA) - Idadi kubwa ya wananchi waumini wa Iran wamefanya maandamano makubwa katika kuunga mkono mfumo wa Kiislamu na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika kusimama kidete katika kukabiliana na ya Marekani.
Habari ID: 3472380    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/17